Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Isevya, kiloleni mitaa ya hovyo, uhuni na kimafia sana kwa mji wa Tabora.

Juzi nilikuwa maeneo ya kiloleni, napewa story za miaka mingi hadi sasa. Sasa hivi vijana wahalifu wamezua mtindo wa ajabu sana. Wanapokuwa na chuki na mtu, wanaenda polisi kureport na kupewa RB-kwa mashtaka ya kubuni kabisa- kisha wanamsaka mtaani na kumpiga sana kisha ndio wanampeleka polisi.

Ingawa ukilinganisha na miaka ya 90 to 2010 hali imetulia kiasi.

Polisi wakimchoka muhalifu wanamalizana naye. Mwaka 2016 nilikuja hapa tabora, kuna kijana mmoja alikuwa akiitwa duni alikuwa mwizi msumbufu sana. Nimesikia ameuawa. Alipigwa risasi ya tako na kufumua mapumbu. Ujambazi haufai.
 
Isevya, kiloleni mitaa ya hovyo, uhuni na kimafia sana kwa mji wa Tabora.

Juzi nilikuwa maeneo ya kiloleni, napewa story za miaka mingi hadi sasa. Sasa hivi vijana wahalifu wamezua mtindo wa ajabu sana. Wanapokuwa na chuki na mtu, wanaenda polisi kureport na kupewa RB-kwa mashtaka ya kubuni kabisa- kisha wanamsaka mtaani na kumpiga sana kisha ndio wanampeleka polisi.

Ingawa ukilinganisha na miaka ya 90 to 2010 hali imetulia kiasi.

Polisi wakimchoka muhalifu wanamalizana naye. Mwaka 2016 nilikuja hapa tabora, kuna kijana mmoja alikuwa akiitwa duni alikuwa mwizi msumbufu sana. Nimesikia ameuawa. Alipigwa risasi ya tako na kufumua mapumbu. Ujambazi haufai.
Umepasau Ng'ambo kule karibu na hospital ya kitete ya mkoa Nako Kuna wahuni miaka nenda Rudi na walevi wa pombe za kienyeji na gongo kama zote kule Nako watu wamepinda,bila kusahau wahuni wa mitaa ya chemchem,mihogoni na mwanza road.
 
Huwa nawaambia watu wanadhani Dar kuna wahuni mpaka siku wakikutana na wahuni wa Arusha ndiyo watajua tofauti. Uhuni wa Arusha ni mbaya sana kama ni sumu naweza kulinganisha na black mamba. Yaani wahuni wa Arusha roho zao Shetani mwenyewe anakaa pembeni anashika kalamu na daftari anajifunza! Hawana roho kabisa! Wakila kuberi, kiloriti akachanganyia na cha kismiri, huyo sio binadamu tena!
 
Back
Top Bottom