Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Jamaa kakamatwa na polisi ndio maana hapandishi tena story hii.
Kuna muda nilikuwa nawabishia watu kuwa waleta story wanazileta kwa Moto mkubwa baadaye wabapotea yaani hapo ndipo wanapopata ubize.

Nadhani Ni dhana ya binadamu kutamaniwa, kupendwa,kutaka kuonekana kuwa yupo valuable,awe noticed,ujue kila binadamu huwa anatafuta attention kwa namna yoyote kwa mazingira aliyopo,yaani huwa anapenda ajulikane kuwa mahala fulani na fulani yupo. Hata utajiri mwingine kisa Ni Ile EGO ndio inayofanya kazi Wala sio kuwaa unauitaji kiasi Cha kumiliki matrilioni na wakati hata kuku kumi hummalizi kwa siku,na huwezi ishi kwenye lijumba ukalijaza ingawa sio kuwa tusitafute utajiri najaribu kuonyesha hapa sio kuwa ufariji kwako wewe ambaye umeushindwa kuutafuta Mana ndio Mana huwa Kuna maendeleo kisa you jina. Hiyo Ni asili iko ivyo haina ubishi
 
Wewe una roho ya kishetani tu na laana ya watu uliowaumiza na kuwaliza itakutafuna maisha yako yote. Kuondokewa na wazazi au kuishi kwenye umaskini sio justification ya wewe kufanya mauaji na kunyang'anya mali za watu. Kama intetion ilikuwa kufanya wizi kujikwamua kimaisha pesa uliyopata awali ilikutosha sana kufanya mishe zingine, ulaaniwe kulingana na watu wote uliowaumiza na kuwapora riziki zao walizozitafuta kihalali.
Au basi kuna jambo nilitaka nicomment
 
HUU UZI UFUTWE RASMI UMEPOTEZA SIFA

Wanao unga mkono hoja, gonga likes hapo chini. Sababu haiwezekani watu wazima tulio na akili timamu tukafanyiwa ukatili na Poker wa kutokumalizia story ili jamii ipate kujifunza
Usifutwe,poker atarudi tuuu,labda Yuko rombo kuwaona wadogo zake na simu aliuza ili apate nauli,soon atarudi na kumalizia story
 
Back
Top Bottom