Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Inakupa maendeleo vzr tu,shida bongo yako imetiwa hofu na dini.
Bora ingekuwa hofu ya dini ni dini imehara kichwani mwako. Prior knowledge tunayopewa kwa nia nzuri wakat mwingine inaweza kuwa kikwazo kikubwa maishani.

Mfano maonyo ya wazazi, dini nk..
 
Sio kweli, ebu niambie utajiri wa Wazungu na Waarabu umetokana na nini?

Jamaa hawakudhulumu mali tu hata nafsi walidhulumu.
Lakini angalia saa hizi. Wamekuwa wapuuzi hata wanyama pori wana nafuu.

Mungu alisema hao watawatawala weusi. Ila sio kuwaibia rasilimali zao. Wameishia kuwa wapuuzi na ustaarabu wao. Wanaona hakuna Mungu wala umuhimu wa kuishi kwa mpango.
 
Three days hola ,nimerejea leo nikajuwa kashamaliza Kaz ,Kaz yangu itakuwa kusoma tu Ila hkn muendelezo wa siginal yoyote ,huu Ni utapeli sasa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli, ukiweza tafuta na usome story ya wale jamaa waliomwua Wayne Lotta, yule mzungu aliyekuwa akiendesha Kampeni ya kuwalinda tembo...Mwuaji alikodishwa kutoka Bugarama, Burundi

MAJAMBAZI NI MASHETANI
Nimeisoma yote alafu baadhi ya watuhumiwa ninawafahamu ingawa waliachiwa huru
 
Back
Top Bottom