Kiongozi Miongoni
Senior Member
- Feb 6, 2021
- 196
- 256
Hata hasipoendelea na porojo zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo story iko umu jf? Km iko umu naomba title yake nami niisome.Ni kweli, ukiweza tafuta na usome story ya wale jamaa waliomwua Wayne Lotta, yule mzungu aliyekuwa akiendesha Kampeni ya kuwalinda tembo...Mwuaji alikodishwa kutoka Bugarama, Burundi
MAJAMBAZI NI MASHETANI
anaweza kurudi kwa bahati nzuriHarudi huyu kashaenda na maji
Mkuu vipi tushituane akirudianaweza kurudi kwa bahati nzuri
mapema nakushtua akiludMkuu vipi tushituane akirudi
[emoji3][emoji3][emoji3] labda atarudi baada ya mfungo tusubiri.Hata hasipoendelea na porojo zake
Wauaji wanadai aliingilia dili zao, ndo hivo tuHIvi kwanini aliuawa yule mzungu mwanaharakati
madelagawisa mmoja.weJambazi mtu mbaya mchawi akasome
Stelingi kajeruhiwaVp Mkuu Movie letu la Kivita?
Mpaka Sasa kila mtu kaandika anachojisikia, pengine jamaa kaamua awe msomaji sasa.Nakupa masaa 12 ya kupost muendelezo , baada ya hapo huu uzi nakuja kuuchafua kwa kupandisha uzi juu ya uzi.....ushazoea kubembelezwa ndio upost
Kheeee!Na wasipokudaka imekula kwao, nakumbuka kipindi nipo Chuo kuna mtabe mmoja hacker alidukua website ya Chuo akajibadirishia matokeo hivi tunamuona, nilichoka, alafu jamaa alikua na kesi ya Cyber alipiga tukio na wenzake wakadakwa na cyber unit kwenye website ya Serikali kesi ikafikishwa mahakamani Ila alichomoka, yupo humu JF Ila sitomtaja