Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Ni kweli, ukiweza tafuta na usome story ya wale jamaa waliomwua Wayne Lotta, yule mzungu aliyekuwa akiendesha Kampeni ya kuwalinda tembo...Mwuaji alikodishwa kutoka Bugarama, Burundi

MAJAMBAZI NI MASHETANI
Hiyo story iko umu jf? Km iko umu naomba title yake nami niisome.
 
Nakupa masaa 12 ya kupost muendelezo , baada ya hapo huu uzi nakuja kuuchafua kwa kupandisha uzi juu ya uzi.....ushazoea kubembelezwa ndio upost
Mpaka Sasa kila mtu kaandika anachojisikia, pengine jamaa kaamua awe msomaji sasa.
 
Na wasipokudaka imekula kwao, nakumbuka kipindi nipo Chuo kuna mtabe mmoja hacker alidukua website ya Chuo akajibadirishia matokeo hivi tunamuona, nilichoka, alafu jamaa alikua na kesi ya Cyber alipiga tukio na wenzake wakadakwa na cyber unit kwenye website ya Serikali kesi ikafikishwa mahakamani Ila alichomoka, yupo humu JF Ila sitomtaja
Kheeee!
 
Back
Top Bottom