Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Kingine huwezi fanikiwa kwa kuwa peke yako, lazima muwe watu wengi ili kufanikiwa iba
Kwa lugha nyepesi inabidi uwe na lundo la scammers ambao wana-act reasonably behind you kukibuma anytime mnachomoka

Tafuta movie moja ilini-inspire sana inaitwa WHO AM I (NO SYSTEM IS SAFE)

Humo jamaa wanafanya vituko tu hawaibi Wala nini
 
Si rahisi kiasi hicho, lazima ujue jinsi mfumo wa bank husika ufanyavyo kazi, lazima ujue transactions hutumwa kwa kiwango gani kwa siku, kwa kutumia message gani

Kwa Tz labda umanipulate ATM, usime camera, uondoe limit afu uanze kuzichukua.... Lazima uhusiane na ATM servicing personel.


Kingine huwezi fanikiwa kwa kuwa peke yako, lazima muwe watu wengi ili kufanikiwa iba

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Tayari upo namie so tutafute wengine. Kuna wasauzi na wanaija miaka fulani walikuwa wanavuta atm money recently
 
Si rahisi kiasi hicho, lazima ujue jinsi mfumo wa bank husika ufanyavyo kazi, lazima ujue transactions hutumwa kwa kiwango gani kwa siku, kwa kutumia message gani

Kwa Tz labda umanipulate ATM, usime camera, uondoe limit afu uanze kuzichukua.... Lazima uhusiane na ATM servicing personel.


Kingine huwezi fanikiwa kwa kuwa peke yako, lazima muwe watu wengi ili kufanikiwa iba

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
There you are man... Chalii anafkiri anabeba tu kama maandazi.. Lazima kuwe na mtaji mzuri na hackers wa maana... Sio waliosoma zion f*** college
 
Back
Top Bottom