Super Charged
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 947
- 1,710
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] Au Kazinunulia bebezi hizo 2MPoker amepewa 2M,kazama nazo Riverside wahuni wamezibeba haamini kama naye kaibiwa.
Vp Mkuu Unamjua,Au wewe Ndungu Yake?Hajafa,anakuja soon
Siku hizi wamelegeza sana, chuga sio kama ile ya 2000-2009Yeah yeah ....
Here we gou ..
Iz lk story about NYOKAA, TUMBONII ETC ETC ETC ETC ETC ETC ETC ETC ETC ETC ETC ETC ETC ETC ETC ETC ETC
enzi hizo our native land Arusha ikiwa On firE.
but mwendelezo plzz ..
Daaa,simjui nataka aje chapVp Mkuu Unamjua,Au wewe Ndungu Yake?
sio bure huyu kw michongo yke bila shak kala chumaUjambazi mbaya sana,mwisho wake ndio kama huu,kushindwa kumalizia stori.
Check Blue Streak ya Martin Lawrence utapenda.. Drug dealer kuwa detective.Yaani mie ningesoma cs nadhani ninge speacilize kwenye hacking Basi Wala Sina Mambo mengi. Huwa nawaza niisome iyo kozi sema Naona mind sio Ile ya around 15-24 yrs.
Kuna msela mmoja Ali hack wb so alipokuja kupatikana ndie akawa mkubwa ama bosi wa iyo mifumo aliyekuwepo akawekwa pembeni.
Yaani mie ningekuwa na mandate jambazi sugu akikamatwa anapewa kazi ya kitengo Cha kudhibiti majambazi sugu Mana Yuko field anaelewa kila chocho. Sasa wewe unampiga ole wako niiisikie tukio mahala.