Killa Cam
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 2,264
- 6,679
Yule alikuwa mwizi wa diamond kaka sio drug dealer.Check Blue Streak ya Martin Lawrence utapenda.. Drug dealer kuwa detective.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule alikuwa mwizi wa diamond kaka sio drug dealer.Check Blue Streak ya Martin Lawrence utapenda.. Drug dealer kuwa detective.
Nilipitia maisha km haya baada ya baba na mama kutuacha wadogo,hii hali huwa nikiiwaza roho inakumbuka mengi sn[emoji22]Sehemu ya 2
Tulienda Dar es Salaam na usafiri binafsi wa baba mkubwa na kufika, ambapo alikuwa akiishi Kurasini karibu kabisa na mizani. Maisha ndani ya jiji ya Dar hayakuwa mazuri sana maana joto lilikuwepo na mbu kwa wingi, haswa ukizingatia Arusha hali ya hewa haswa ukanda wa Sakina una baridi kwa kweli. Ndani ya wiki mbili 2 niliugua Malaria na kwa wakati huo dawa iliyokuwa ikitumika sana ni chloroquine. Ila dada zangu wao hawakuugua Malaria.
Tulikaa Dar na baba mkubwa akatutaftia shule huko Moshi ambayo ni ya bweni yaani kulala ili tusijihisi upweke pale nyumbani. Hivyo tulienda kusoma shule moja inaitwa Moshi Academy maeneo ya Ushirika Kibosho. ( Kwa watu wa Moshi watakubaliana nami ushirika na KCMC zote zipo ndani ya Kibosho).
Kwa maisha ya pale shule tulisoma na mimi nilifaulu ijapokuwa nilipata wakati mgumu sana haswa kwenye kubadili mtaala maana ukumbuke pale Arusha shule tulisoma kwa mfumo wa Cambridge na sio huu wa Tanzania. Nilimaliza darasa la 7 mwaka 1998 nikawaacha wadogo zangu shule ambao nao walilia sana kuwa hawawezi kusoma hapo kama sipo. Lakini walibaki kusoma hapo hapo. Mimi nakumbuka baada ya hapo baba mkubwa alinipeleka Tabora kwa shemeji yake ambaye alikuwa akikaa maeneo ya Bachu. Nilifika Tabora na nilifanyiwa mpango wa kujiunga na Tabora boys.
Nilianza kidato cha kwanza mwaka 1999 na mwaka huo ndio ulikuwa ni kama mwanzo wa mateso yangu. Baba mkubwa alikuwa amechukua mikopo hivyo mambo hayakuenda vizuri na duka lile la vitambaa pale Kilombero lilokuwa la mzee aliliuza pamoja na ile nyumba iliyokuwa halali yangu kwa kisingizio cha elimu yetu ni kipaumbele kumbe alitumia kulipa madeni yake. Hivyo mambo yalianza kwenda kombo mimi nikiwa busy na shule baba mkubwa mambo yalizidi kuyumba sana baada ya hapo mke wake ambaye alikuwa ni mwenyeji wa Tabora maeneo ya Isikizya alimwambia sisi ndio chanzo cha mikosi na mabalaa yanayomkumba hivyo atuache turudi kwa bibi kijijini.
Baba mkubwa alijaribu kukaza shingo akiwa na nia thabiti ya kutusaidia ila shinikizo la mwanamke ukizingatia na hali inazidi kudorora kiuchumi, rasmi mrija wa misaada ulikata kwangu na kwa wadogo zangu, mimi pale nilipokuwa nikikaa nilihama mwenyewe kwasababu ya manyanyaso, kipindi hiko maji Tabora yalikuwa ya shida hivyo unaeza tumwa kwenda kisimani unachota maji na baiskeli ukirudi unaambiwa uende upeleke mchele wa vitumbua mashineni hapo hujala chochote.
Ukirudi unaambiwa uwashe moto na kwenda kutafuta kuni za kupikia ukirudi unakuta wameshakula wamekuachia ugali kidogo na kisamvu cha karanga. Ukishakula hapo ndio basi tena mpaka kesho tena. Mi kiujumla hayo maisha yalinishinda yamanyanyaso haswa ukizingatia sikuyazoea kabisa, nikaomba kuondoka kurudi nyumbani, nilipandishwa basi la NBS na kurudi Dar. Dar napo nikapokelewa mzobe mzobe kwa kisingizio kwamba nimewatukana mama zangu wadogo na mkwe wa baba mkubwa hivyo nikafungashiwa virago na kupandishwa basi la Ngorika kurudi Moshi ambapo nitaenda kijijini Rombo kwa bibi.
Kweli nilifika mida ya 8 mchana njia panda ya Himo nikashushiwa hapo na mizigo yangu. Nilikaa sana nikimsubiri mtu wa kuja kunipokea ndipo kijana mmoja ndugu naye alipokuja na kurudi na mimi mlimani. Kule nilikutana na wadogo zangu na kwa kweli walifurahi sana kuniona nami pia nilifurahi sana kuwaona faraja zilirejea mioyoni yetu kwa muda huo.
Maisha ndani ya Rombo hayakuwa mazuri, bali yalikuwa ni ya shubiri kukata majani ya ng'ombe, kutafuta kuni, kusafisha hori la ng'ombe na fimbo kwa wingi sana yaani ukifanya kosa dogo ni fimbo haswa! Tulikosa mtetezi na ni kama tulitengwa na hilo lilikuwa linaonekana wazi wazi maana hata kuku akichinjwa sisi tutaishia kupewa vikwaru kwaru yaani miguu, kichwa au kibawa kile ambacho hakina nyama. Na hata wakipika nyama basi wengine wanafichiwa katikati ya wali na pale juu inawekwa moja au mbili kama geresha.
Mwaka 2000 niliamua kwenda Tarakea kwa shangazi alipoolewa nikakaa huko ili nijaribu kufungua ukurasa mpya wa masha yangu!
Je? Nini kitaendelea usikose kufuatana nami hadi mwisho.
Jasiri haachi asili, huyu atakuwa ametwaliwa tayariCzan kama yu hai poker
Kwa uzoefu wake atakua kaenda wagnerCzan kama yu hai poker
Atarudi tuwe na subra, Amejitahidi sana kuandika kisa kirefu hivyo.Kwa uzoefu wake atakua kaenda wagner
UmerudiaPoker
Sehemu ya 18
Nilichukua zile millioni 2 nikazikunja vizuri nikaziweka kwenye mifuko ya ndani ya koti la truck suit nililokuwa nimevaa, nikatoka hapo nikakamata njia kuelekea kwa wale jamaa zangu Magomeni kota.
Sehemu za watu kupita watu walikuwa wamejaa yaani sehemu ya kukanyaga hamna mi nilikaa siti ambayo siyo ya dirishani na dirishani alikaa faza mmoja ana kitambi na mkoba wake ameupakatia vizuri sana.
Tulianza kupiga stori na kuzoeana kabla safari haijaanza, na nilimgundua ana hela kwenye mkoba baada ya kutoa burungutu la hela kumpa mtu kwa nje. Nilimtamani sana yule faza na akili ilihama moja kwa moja na amani nilikosa haswa.
Yeye alikuwa amechangamka sana, basi liliondoka na tulifika eneo la kula msosi na kuchimba dawa, tulishuka na mimi kumwambia twende chooni. Tulienda nia na dhumuni langu kuu ni kummalizia huko huko chooni, lakini haikuwa hivyo kwani watu walikuwa wanaingia kwa wingi na kutoka hivyo nilishindwa zoezi langu na roho iliniuma sana.
Tulienda kwenye eneo la msosi nikatoa hela ninunue chakula, ila yeye alisema ataninunulia hivyo nisitumie pesa yangu. Aliniagizia chips na kuku mzima na yeye hivyo hivyo na juice kubwa ya box. Alifungua mkoba na kutoa tena hela kulipia ambapo alizidi kunichanganya kabisa, ikabidi niisihi akili yangu itulie na moyo utulie kwani naelekea mjini hivyo mambo yatakuwa mazuri. Lakini wapi nafsi inakataa kata kata.
Tulirudi kwenye basi na safari iliendelea njiani stori zilikuwa nyingi namimi nikuwa nimefura kwa hasira maana naona hela hizo hapo na sina cha kufanya.
Usingizi ulimpitia na kile kimkoba kilimtoka mikononi na kikawa sasa kama kimenilalia, niliona huu ndio muda muafaka sasa baada ya kama dakika 5 basi lilisimama kuna watu walikuwa wanashuka na kuna wengine wanataka kupanda na mimi wazo la kushuka likanijia hapo hapo.
Nilisimama kuangaza vizuri hayo mazingira kama yanafaa kushuka nikasikia akinisemesha vipi tumefika Kasumulo? Nikamjibu kwa hasira sana bado faza we endelea kupumzika. Safari iliendelea na tulifika boarder mapema kabisa ilikuwa lakini bado jua halijachomoza na adhana bado haijalia kwa muda huo.
Tulishuka pale na watu walikuwa wakisubiri ofisi za migration zifunguliwe kutapopambazuka. Nilikaa nje kule na yule faza na kulipopambazuka wale waliokuwa wanaenda kugongewa mihuri passport zao upande wa Malawi na kisha kwa upande wa Tanzania. Faza yeye aliondoka na aliniacha ambapo mimi nilitulia pale maana sina passport hivyo kwa maelezo niliyopewa ni kuwa kuna mtu atashughulikia suala langu. Alikuja afisa mmoja pale na kunikazia macho kidogo na mimi nikamkazia, akaniambia maswera? Na mimi nikamjibu maswera bonukaye! Muli bwanji? Na mimi nikamjibu ndili bwino kaya inu? Na yeye akajibu tena ndili bwino! Kisha akaniambia takulandirani achimwene! Na mimi nikamjibu zikomo!
Tuliondoka na kwenda kwenye mto pale boarder, ambako nakumbuka ulikuwa ni kwa upande huu wa Malawi ila jina siukumbuki kwa kweli ndio kwa mara ya kwanza na ya mwisho niliuona huo mto. Tulizungumza mengi sana huku akinisihi lazima nijitume kwenye kazi na niache kuendekeza huruma na mapenzi. Roho ya huruma itakugharimu katika maisha yako na mapenzi yatakupoteza na kukutoa kwenye reli ya mafanikio. Alinisihi sana na kuniambia mambo mazuri yapo mbele yangu ikiwa nitasimama kama mwanaume katika nafasi yangu nasio mvulana.
Tuliondoka na kuingia upande wa Tanzania ambapo kule alikutana na baadhi ya watu na mimi nilipita na kuingia rasmi Tanzania. Alinikabidhi kwa kijana mmoja mmoja wa makamu ambaye tuliongozana mpaka Kyela. Kutoka Kyela tuliondoka usiku na kuanza safari ndani ya gari private ambapo tulikuwa wawili tu. Mimi na huyo kijana.
Gari ilikuwa inatembea kwa mwendo sana, tulifika Mbeya na pale Mbeya hatukusimama tuliendelea na safari na majira ya alfajiri tulikuwa tupo Chalinze. Pale tulikaa kama nusu saa kisha tukaanza safari ya Dar ambapo tulifika salama kabisa. Mimi nilifikishwa moja kwa moja ofisini kwa mdosi ambapo alinipokea kwa mikono miwili na kunikaribisha. Mdosi yeye ni mtu wa Machame huko.
Aliniuliza uzoefu wangu kwenye kazi za kiume na mimi nikamjibu atoe shaka yeye anipe kazi hata sasa na hatojuta. Akaniuliza tena utaweza kweli mbona unaonekana kama mtoto wa mama? Nikamwambia mwonekano wa nje hauakisi muonekano wa ndani. Hivyo aliniambia kwa leo hamna majukumu hivyo niende nikapumzike na kulifurahia jiji la Dar kwa muda wa wiki moja.
Alivuta droo nakutoa kitita cha milioni 2 ambacho aliniambia hicho ni kwaajili ya kuburudika kwa hiyo wiki moja kisha ndio nitapangiwa jukumu langu la kazi.
Je? Nini kitaendelea usikose kufuatana nami hadi mwisho.
Bro hii teyari, shusha muendelezoPoker
Sehemu ya 18
Nilichukua zile millioni 2 nikazikunja vizuri nikaziweka kwenye mifuko ya ndani ya koti la truck suit nililokuwa nimevaa, nikatoka hapo nikakamata njia kuelekea kwa wale jamaa zangu Magomeni kota.
Sehemu za watu kupita watu walikuwa wamejaa yaani sehemu ya kukanyaga hamna mi nilikaa siti ambayo siyo ya dirishani na dirishani alikaa faza mmoja ana kitambi na mkoba wake ameupakatia vizuri sana.
Tulianza kupiga stori na kuzoeana kabla safari haijaanza, na nilimgundua ana hela kwenye mkoba baada ya kutoa burungutu la hela kumpa mtu kwa nje. Nilimtamani sana yule faza na akili ilihama moja kwa moja na amani nilikosa haswa.
Yeye alikuwa amechangamka sana, basi liliondoka na tulifika eneo la kula msosi na kuchimba dawa, tulishuka na mimi kumwambia twende chooni. Tulienda nia na dhumuni langu kuu ni kummalizia huko huko chooni, lakini haikuwa hivyo kwani watu walikuwa wanaingia kwa wingi na kutoka hivyo nilishindwa zoezi langu na roho iliniuma sana.
Tulienda kwenye eneo la msosi nikatoa hela ninunue chakula, ila yeye alisema ataninunulia hivyo nisitumie pesa yangu. Aliniagizia chips na kuku mzima na yeye hivyo hivyo na juice kubwa ya box. Alifungua mkoba na kutoa tena hela kulipia ambapo alizidi kunichanganya kabisa, ikabidi niisihi akili yangu itulie na moyo utulie kwani naelekea mjini hivyo mambo yatakuwa mazuri. Lakini wapi nafsi inakataa kata kata.
Tulirudi kwenye basi na safari iliendelea njiani stori zilikuwa nyingi namimi nikuwa nimefura kwa hasira maana naona hela hizo hapo na sina cha kufanya.
Usingizi ulimpitia na kile kimkoba kilimtoka mikononi na kikawa sasa kama kimenilalia, niliona huu ndio muda muafaka sasa baada ya kama dakika 5 basi lilisimama kuna watu walikuwa wanashuka na kuna wengine wanataka kupanda na mimi wazo la kushuka likanijia hapo hapo.
Nilisimama kuangaza vizuri hayo mazingira kama yanafaa kushuka nikasikia akinisemesha vipi tumefika Kasumulo? Nikamjibu kwa hasira sana bado faza we endelea kupumzika. Safari iliendelea na tulifika boarder mapema kabisa ilikuwa lakini bado jua halijachomoza na adhana bado haijalia kwa muda huo.
Tulishuka pale na watu walikuwa wakisubiri ofisi za migration zifunguliwe kutapopambazuka. Nilikaa nje kule na yule faza na kulipopambazuka wale waliokuwa wanaenda kugongewa mihuri passport zao upande wa Malawi na kisha kwa upande wa Tanzania. Faza yeye aliondoka na aliniacha ambapo mimi nilitulia pale maana sina passport hivyo kwa maelezo niliyopewa ni kuwa kuna mtu atashughulikia suala langu. Alikuja afisa mmoja pale na kunikazia macho kidogo na mimi nikamkazia, akaniambia maswera? Na mimi nikamjibu maswera bonukaye! Muli bwanji? Na mimi nikamjibu ndili bwino kaya inu? Na yeye akajibu tena ndili bwino! Kisha akaniambia takulandirani achimwene! Na mimi nikamjibu zikomo!
Tuliondoka na kwenda kwenye mto pale boarder, ambako nakumbuka ulikuwa ni kwa upande huu wa Malawi ila jina siukumbuki kwa kweli ndio kwa mara ya kwanza na ya mwisho niliuona huo mto. Tulizungumza mengi sana huku akinisihi lazima nijitume kwenye kazi na niache kuendekeza huruma na mapenzi. Roho ya huruma itakugharimu katika maisha yako na mapenzi yatakupoteza na kukutoa kwenye reli ya mafanikio. Alinisihi sana na kuniambia mambo mazuri yapo mbele yangu ikiwa nitasimama kama mwanaume katika nafasi yangu nasio mvulana.
Tuliondoka na kuingia upande wa Tanzania ambapo kule alikutana na baadhi ya watu na mimi nilipita na kuingia rasmi Tanzania. Alinikabidhi kwa kijana mmoja mmoja wa makamu ambaye tuliongozana mpaka Kyela. Kutoka Kyela tuliondoka usiku na kuanza safari ndani ya gari private ambapo tulikuwa wawili tu. Mimi na huyo kijana.
Gari ilikuwa inatembea kwa mwendo sana, tulifika Mbeya na pale Mbeya hatukusimama tuliendelea na safari na majira ya alfajiri tulikuwa tupo Chalinze. Pale tulikaa kama nusu saa kisha tukaanza safari ya Dar ambapo tulifika salama kabisa. Mimi nilifikishwa moja kwa moja ofisini kwa mdosi ambapo alinipokea kwa mikono miwili na kunikaribisha. Mdosi yeye ni mtu wa Machame huko.
Aliniuliza uzoefu wangu kwenye kazi za kiume na mimi nikamjibu atoe shaka yeye anipe kazi hata sasa na hatojuta. Akaniuliza tena utaweza kweli mbona unaonekana kama mtoto wa mama? Nikamwambia mwonekano wa nje hauakisi muonekano wa ndani. Hivyo aliniambia kwa leo hamna majukumu hivyo niende nikapumzike na kulifurahia jiji la Dar kwa muda wa wiki moja.
Alivuta droo nakutoa kitita cha milioni 2 ambacho aliniambia hicho ni kwaajili ya kuburudika kwa hiyo wiki moja kisha ndio nitapangiwa jukumu langu la kazi.
Je? Nini kitaendelea usikose kufuatana nami hadi mwisho.
YesUmerudia
Hayanihusu,lakini Kwa Nini umeamua kujiita Jina ARV?Poker
Sehemu ya 18
Nilichukua zile millioni 2 nikazikunja vizuri nikaziweka kwenye mifuko ya ndani ya koti la truck suit nililokuwa nimevaa, nikatoka hapo nikakamata njia kuelekea kwa wale jamaa zangu Magomeni kota.
Sehemu za watu kupita watu walikuwa wamejaa yaani sehemu ya kukanyaga hamna mi nilikaa siti ambayo siyo ya dirishani na dirishani alikaa faza mmoja ana kitambi na mkoba wake ameupakatia vizuri sana.
Tulianza kupiga stori na kuzoeana kabla safari haijaanza, na nilimgundua ana hela kwenye mkoba baada ya kutoa burungutu la hela kumpa mtu kwa nje. Nilimtamani sana yule faza na akili ilihama moja kwa moja na amani nilikosa haswa.
Yeye alikuwa amechangamka sana, basi liliondoka na tulifika eneo la kula msosi na kuchimba dawa, tulishuka na mimi kumwambia twende chooni. Tulienda nia na dhumuni langu kuu ni kummalizia huko huko chooni, lakini haikuwa hivyo kwani watu walikuwa wanaingia kwa wingi na kutoka hivyo nilishindwa zoezi langu na roho iliniuma sana.
Tulienda kwenye eneo la msosi nikatoa hela ninunue chakula, ila yeye alisema ataninunulia hivyo nisitumie pesa yangu. Aliniagizia chips na kuku mzima na yeye hivyo hivyo na juice kubwa ya box. Alifungua mkoba na kutoa tena hela kulipia ambapo alizidi kunichanganya kabisa, ikabidi niisihi akili yangu itulie na moyo utulie kwani naelekea mjini hivyo mambo yatakuwa mazuri. Lakini wapi nafsi inakataa kata kata.
Tulirudi kwenye basi na safari iliendelea njiani stori zilikuwa nyingi namimi nikuwa nimefura kwa hasira maana naona hela hizo hapo na sina cha kufanya.
Usingizi ulimpitia na kile kimkoba kilimtoka mikononi na kikawa sasa kama kimenilalia, niliona huu ndio muda muafaka sasa baada ya kama dakika 5 basi lilisimama kuna watu walikuwa wanashuka na kuna wengine wanataka kupanda na mimi wazo la kushuka likanijia hapo hapo.
Nilisimama kuangaza vizuri hayo mazingira kama yanafaa kushuka nikasikia akinisemesha vipi tumefika Kasumulo? Nikamjibu kwa hasira sana bado faza we endelea kupumzika. Safari iliendelea na tulifika boarder mapema kabisa ilikuwa lakini bado jua halijachomoza na adhana bado haijalia kwa muda huo.
Tulishuka pale na watu walikuwa wakisubiri ofisi za migration zifunguliwe kutapopambazuka. Nilikaa nje kule na yule faza na kulipopambazuka wale waliokuwa wanaenda kugongewa mihuri passport zao upande wa Malawi na kisha kwa upande wa Tanzania. Faza yeye aliondoka na aliniacha ambapo mimi nilitulia pale maana sina passport hivyo kwa maelezo niliyopewa ni kuwa kuna mtu atashughulikia suala langu. Alikuja afisa mmoja pale na kunikazia macho kidogo na mimi nikamkazia, akaniambia maswera? Na mimi nikamjibu maswera bonukaye! Muli bwanji? Na mimi nikamjibu ndili bwino kaya inu? Na yeye akajibu tena ndili bwino! Kisha akaniambia takulandirani achimwene! Na mimi nikamjibu zikomo!
Tuliondoka na kwenda kwenye mto pale boarder, ambako nakumbuka ulikuwa ni kwa upande huu wa Malawi ila jina siukumbuki kwa kweli ndio kwa mara ya kwanza na ya mwisho niliuona huo mto. Tulizungumza mengi sana huku akinisihi lazima nijitume kwenye kazi na niache kuendekeza huruma na mapenzi. Roho ya huruma itakugharimu katika maisha yako na mapenzi yatakupoteza na kukutoa kwenye reli ya mafanikio. Alinisihi sana na kuniambia mambo mazuri yapo mbele yangu ikiwa nitasimama kama mwanaume katika nafasi yangu nasio mvulana.
Tuliondoka na kuingia upande wa Tanzania ambapo kule alikutana na baadhi ya watu na mimi nilipita na kuingia rasmi Tanzania. Alinikabidhi kwa kijana mmoja mmoja wa makamu ambaye tuliongozana mpaka Kyela. Kutoka Kyela tuliondoka usiku na kuanza safari ndani ya gari private ambapo tulikuwa wawili tu. Mimi na huyo kijana.
Gari ilikuwa inatembea kwa mwendo sana, tulifika Mbeya na pale Mbeya hatukusimama tuliendelea na safari na majira ya alfajiri tulikuwa tupo Chalinze. Pale tulikaa kama nusu saa kisha tukaanza safari ya Dar ambapo tulifika salama kabisa. Mimi nilifikishwa moja kwa moja ofisini kwa mdosi ambapo alinipokea kwa mikono miwili na kunikaribisha. Mdosi yeye ni mtu wa Machame huko.
Aliniuliza uzoefu wangu kwenye kazi za kiume na mimi nikamjibu atoe shaka yeye anipe kazi hata sasa na hatojuta. Akaniuliza tena utaweza kweli mbona unaonekana kama mtoto wa mama? Nikamwambia mwonekano wa nje hauakisi muonekano wa ndani. Hivyo aliniambia kwa leo hamna majukumu hivyo niende nikapumzike na kulifurahia jiji la Dar kwa muda wa wiki moja.
Alivuta droo nakutoa kitita cha milioni 2 ambacho aliniambia hicho ni kwaajili ya kuburudika kwa hiyo wiki moja kisha ndio nitapangiwa jukumu langu la kazi.
Je? Nini kitaendelea usikose kufuatana nami hadi mwisho.