Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

We jamaa akili yako mgando sana? kwani inabidi ueleweshweje ili uelewe!!??
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ulikuwa unakasirika kwa pesa ya watu dah!
 
Nimeisoma yote. Naikosoa sasa. Nalaani yule jamaa alivyomcharaza panga girlfriend wake baada ya kumfumania.
Treachery,usaliti,kapewa lifti lwenye boda boda,kamwelekeza bodaboda porini halafu amempiga na kumpora hela.
Mshangao. Diazipum ni vallium,kama sikosei,(dawa ya usingizi),iweje watu wanakwenda kwenye mission wanatumia sopoforic?
Iweje wanavuta bangi kujitayarisha kwa mission?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…