smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,976
- 3,098
Maweee!1 muone huyu!! Lisu yuko wapi?? unajua yaliyo mkuta?? unadhani ataandikwaje miaka ya mbele huko??.........km haitoshi muheshimiwa Nape?? je.......tushukuru sana tupo karne hii ukiguswa kidogoo unapi yoweee dunia zima inasikia..
Hayaaa wafanya kazi wa serikali kuachishwa km madogi bila kujali huduma zao!!........haya waziri kaenda kuapishwa matokeo yake anafukuzwa km dogi mweeee!!........
Raisi kujitungia sheria zinazo mlinda unadhani ataandikwaje huko mbele???....viongozi wezi kuiba hela wananunua mabasi tena mchana kweupeeee!!
na aliye fanya hayo kafa kifo kibaya sana ....huko mbele ataandikwaje??....Nina mengi mpaka yale ya Zanzibar,,,na aliye sababisha amesha vuta na yeye!!