Kutoka Maktaba: Unaweza Kuwataja Wachezaji hawa

Nilikuwa mdogo sana under 5 hivi, lakini nakumbuka maneno haya kutoka kwa mtangazaji.

"Sylvinho with a ball, Sylvinho it's Sylvinho Sylvinho and still Sylvinho, Sylvinho Sylvinho Gooool. You won't believe this but is Sylvinho"

Hili goli nikumbusheni alifunga mechi ipi? Nahisi ilikuwa Champions League.
 
Hilo chama wakati huo unaenda kuangalia mpira bila pressure kabisa
 
Kweli wee Muhenga, alafu utakuwa the gunners mwenzangu, vipi Chelsea tutamuweza kweli final ya Europa cup
Mim Man U na Nyota wangu wa muda wote kwenye Soka Paul Scholes.The best central midfield, The Einstein of football. Tangu naanza kuangalia ligi ya England 1995 sijamuona mchezaji wa kariba yake.
Ila Arsenal hii ilikua inatupa tabu sana ilikua na wachezaji wababe na wanao utandika Mpira kisawasawa.
 
Ray parlow,seaman,bergkamp,martin kewon,petit
Vieira,dixon,adams,overmas,henry,silvinho
 
Alifunga dhidi ya Fc Sparta Praha, mwaka 2000.
 
Mkuu Makaveli10,

Nigel Winterburn hayupo katika kikosi hiko. Sikumbuki vizuri ama alishaondoka au kwenye mechi hiyo alikuwa sub. Maana nafasi yake namiona Sylvinho hapo.

Hapo nauona ukuta wa chuma wa Arsenal uliokuwa unahama kama ulivyo kwenda kwenye majukumu ya timu ya taifa.

David Seaman, Lee Dixon, Martin Keown, Tony Adams (Mr. Arsenal)na huyo Winterburn ambaye hakuwepo kikosini. Eti leo hii mabeki wa kiingereza ni akina Smalling na John Stones. Aibu iliyoje.

Hakika nyakati ngumu hazipiti ila watu wagumu wanapita.
 

Shukrani mkuu.
Nilifanya kumquote mtu, Yule wa mwanzo kabisa bila shaka ni mjomba ray parlour!!

Bila shaka hapo winterburn alikuwa sub!!
 
Huyo mwafrika ni Parick Vieira
Hapo alikuwa bado kijana sana.

Yeye na Thiery Henry nimewafahamu miaka ya 2005, zaidi 2006 kwenye FIFA WC(German). Nilikuwa nishakariri upara wa Henry ila picha hii ya zamani akiwa na nywele imenifanya nisimtambue
 


Dogo, father of English soccer ni Man Utd au na hii pia unataka nikufundishe? Toka mwaka 90 Liverpool haijachukua kombe la Uingereza (Ligi Kuu), na mwaka huu wanaishia kapa tena.
 
Ray parlour huyu mtu alikuwa mpambanaji sana, dah

Namkumbukaga kwa goli aliwachambanga Chelsea fainal FA cup 2001

Ndio mpiganaj ninayemkubali arsenal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…