Kutoka maktaba ya Juma Mwapachu: Barua ya baba yake kwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere 1949

Kutoka maktaba ya Juma Mwapachu: Barua ya baba yake kwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere 1949

Sasa mkuu wewe umeisoma historia ya Tanganyika na Mimi pia nimeisoma na kwa kuwa vitabu vyenye ithibati ya serikali kutumika shuleni na vyuoni havijawatambua wengi Wa waasisi vipi vitaonyesha uhusiano wao na mwl!?
Ndo maana nikakuuliza wewe malenga unidadavulie.
DJ,
Kitabu kilichotofautiana na vitabu vingine vya historia ya uhuru wa Tanganyika
ni kitabu nilichoandika kuhusu maisha ya Abdul Sykes.

Soma kitabu hicho kipo sasa miaka 20.
 
Wapigania Uhuru wengi naona ni waislamu(sina mrengo wa kidini But truth be told) lakin cha kushangaza baba wa Taifa mkiristo,aise hawa jamaa janja janja kama Mataifa yao yanavyosadifu,mf;USA,ISRAEL,RUSIA nk.
Sijawaza nimewaziwa.

kazi kubwa ya Kanisa katoliki hiyo.
 
Wanahistoria wote wanajua kuwa siku zote tangu dunia iumbwe, historia huandikwa kuwaelezea stars wa historia tu.. Ni wanahistoria wasioujua ukweli huo wa historia ndio hulalamika iwapo washiriki wa pembeni (extras) wasipooengelewa. Kwa mfano wakati wa safari ya Chrstopher Columbus kwende huko West Indies, alikwenda na mashua tatu, zote zikiwa na watu jumla ya watu 87 kama ifuatavyo hapa chini lakini huwa hawatwajwi katika historia. Huwezi kusema historia imepindishwa bali ndio ukweli wenyewe wa historia. In fact wamiliki wa meli zote tatu pia walikuwamo, lakini hatajwi!! Kwa hiyo, iwapo wazee wa Profesa Saidi walikuwa ndio wamiliki (owners) wa TANU, basi Nyerere ndiye alikuwa Captain-General, na hivyo historia itaendelea kumuezi Captain-General aliyefiksiha msafara salama mna kwa mafanikio.


Crew of the Santa Maria:

  • Cristobal Colon (Christopher Columbus), captain-general
  • Juan de la Cosa, owner and master
  • Diego de Arana, master-at-arms
  • Pedro de Gutierrez, royal steward
  • Rodrigo de Escobedo, secretary of the fleet
  • Rodrigo Sanchez, comptroller
  • Diego de Salcedo, servant of Columbus
  • Luis de Torres, interpreter
  • Rodrigo de Jerez
  • Alonso Chocero
  • Alonso Clavijo
  • Andres de Yruenes
  • Antonia de Cuellar, carpenter
  • Bartolome Biues
  • Bartolome de Torres
  • Bartolome Garcia, boatswain
  • Chachu, boatswain
  • Cristobal Caro, goldsmith
  • Diego Bermudez
  • Diego Perez, painter
  • Domingo de Lequeitio
  • Domingo Vizcaino, cooper
  • Gonzalo Franco
  • Jacomel Rico
  • Juan, servant
  • Juan de Jerez
  • Juan de la Placa
  • Juan Martines de Acoque
  • Juan de Medina
  • Juan de Moguer
  • Juan Ruiz de la Pena
  • Juan Sanchez, physician
  • Lope, joiner
  • Maestre Juan
  • Marin de Urtubia
  • Pedro de Terreros, cabin boy
  • Pero Nino, pilot
  • Pedro Yzquierdo
  • Pedro de Lepe
  • Rodrigo Gallego, servant
Crew of the Pinta:

  • Martin Alonso Pinzon, captain
  • Francisco Martin Pinzon, master
  • Cristobal Garcia Xalmiento, pilot
  • Cristobal Quintero, ship's owner
  • Francisco Garcia Vallejo
  • Garcia Hernandez, steward
  • Gomez Rascon
  • Juan Bermudez
  • Juan Quintero
  • Juan Rodriquez Bermejo
  • Pedro de Arcos
  • Alonso de Palos
  • Alvaro Perez
  • Anton Calabres
  • Bernal, servant
  • Diego Martin Pinzon
  • Fernando Mendes
  • Francisco Mendes
  • Gil Perez
  • Juan Quadrado
  • Juan Reynal
  • Juan Verde de Triana
  • Juan Vecano
  • Maestre Diego, surgeon
  • Pedro Tegero
  • Sancho de Rama
Crew of the Niña:

  • Vincente Yanez Pinzon, captain
  • Juan Nino, owner and master
  • Francisco Nino
  • Bartolome Roldan, apprentice pilot
  • Alonso de Morales, carpenter
  • Andres de Huelva
  • Bartolome Garcia, boatswain
  • Diego Lorenzo
  • Fernando de Triana
  • Garcia Alonso
  • Juan Arias, cabin boy
  • Juan Arraes
  • Juan Romero
  • Maestre Alonso, phyiscian
  • Miguel de Soria, servant
  • Pedro de Soria
  • Pero Arraes
  • Pero Sanches
  • Rodrigo Monge
  • Sancho Ruiz, pilot
 
Back
Top Bottom