Kutoka Mianzini - Mapinga km ni 10, kuna vituo 13 vya petrol station

Kutoka Mianzini - Mapinga km ni 10, kuna vituo 13 vya petrol station

Wanatakatisha fedha kupitia huu ujenzi wa vituo vya mafuta.
 
Kama serikali inakopa kwa miradi yake,,hawa jamaa wanapata wapi hela za kujenga mapetrol stationi kwa wingi kiasi hiki?
 
View attachment 3232757

Yawezekana hapa ndipo penye utitiri mkubwa wa vituo vya kuuzia mafuta ya magari katika barabara ya Bagamoyo.

Kutoka Bunju pale njia panda ya Moga unaanza na Lake Oil mkono wa kushoto hadi Mapinga kabla hujapanda kilima cha Marian Boys unamaliza na TOTAL mkononwa kulia. Ni mwendo wa dakika 10, kilometres 10 kuna vituo 13 vya kuuzia petrol, na bado
Sawa
 
View attachment 3232757

Yawezekana hapa ndipo penye utitiri mkubwa wa vituo vya kuuzia mafuta ya magari katika barabara ya Bagamoyo.

Kutoka Bunju pale njia panda ya Moga unaanza na Lake Oil mkono wa kushoto hadi Mapinga kabla hujapanda kilima cha Marian Boys unamaliza na TOTAL mkononwa kulia. Ni mwendo wa dakika 10, kilometres 10 kuna vituo 13 vya kuuzia petrol, na bado
tunaweka mafuta ya jero jero after 1km
 
View attachment 3232757

Yawezekana hapa ndipo penye utitiri mkubwa wa vituo vya kuuzia mafuta ya magari katika barabara ya Bagamoyo.

Kutoka Bunju pale njia panda ya Moga unaanza na Lake Oil mkono wa kushoto hadi Mapinga kabla hujapanda kilima cha Marian Boys unamaliza na TOTAL mkononwa kulia. Ni mwendo wa dakika 10, kilometres 10 kuna vituo 13 vya kuuzia petrol, na bado
Ulitaka kuwe na vituo vya kulelea watoto wadogo?
 
Back
Top Bottom