Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaView attachment 3232757
Yawezekana hapa ndipo penye utitiri mkubwa wa vituo vya kuuzia mafuta ya magari katika barabara ya Bagamoyo.
Kutoka Bunju pale njia panda ya Moga unaanza na Lake Oil mkono wa kushoto hadi Mapinga kabla hujapanda kilima cha Marian Boys unamaliza na TOTAL mkononwa kulia. Ni mwendo wa dakika 10, kilometres 10 kuna vituo 13 vya kuuzia petrol, na bado
Wewe wewe tangu umdis Mbowe nakuchukiaKweli watu mna akili fupi!! Yaani vituo vya mafuta 13 ndani ya kilometres 10 ndiyo maendeleo??
tunaweka mafuta ya jero jero after 1kmView attachment 3232757
Yawezekana hapa ndipo penye utitiri mkubwa wa vituo vya kuuzia mafuta ya magari katika barabara ya Bagamoyo.
Kutoka Bunju pale njia panda ya Moga unaanza na Lake Oil mkono wa kushoto hadi Mapinga kabla hujapanda kilima cha Marian Boys unamaliza na TOTAL mkononwa kulia. Ni mwendo wa dakika 10, kilometres 10 kuna vituo 13 vya kuuzia petrol, na bado
Ulitaka kuwe na vituo vya kulelea watoto wadogo?View attachment 3232757
Yawezekana hapa ndipo penye utitiri mkubwa wa vituo vya kuuzia mafuta ya magari katika barabara ya Bagamoyo.
Kutoka Bunju pale njia panda ya Moga unaanza na Lake Oil mkono wa kushoto hadi Mapinga kabla hujapanda kilima cha Marian Boys unamaliza na TOTAL mkononwa kulia. Ni mwendo wa dakika 10, kilometres 10 kuna vituo 13 vya kuuzia petrol, na bado
Maana unawapangia watu wafanye ni I na ardhi zaoMkuu uko sawa kweli kichwanj mwako? Hebu kamuone daktari