Hiyo chizi atakayefuata ushauri wa mtu kama Makonda aisee kichwani atakuwa taabani sana. Unaanzaje kufuata ushauri wa kipumbavu kama ule? Emb tumieni akili walau za darasa la kwanza kwa jambo hili zitakupa muongozo.Padre amewataka waamini waendelee kufuata maelekezo kama yalivyotolewa na Waziri wa Afya tangu awali.
Na kwamba kama Kanisa bado hawajatoa tamko wataendelea hivyo mpaka uongozi utakavyotoa malekezo zaidi, Pia amesisitiza waamini wawe makini Corona bado ipo.
Hiyo chizi atakayefuata ushauri wa mtu kama Makonda aisee kichwani atakuwa taabani sana. Unaanzaje kufuata ushauri wa kipumbavu kama ule? Emb tumieni akili walau za darasa la kwanza kwa jambo hili zitakupa muongozo.
Bashite ataaibika tena na uchizi wake.
Pale nchi ya majuha ipoongozwa na viongozi majuha!
Huu uchokozi dhahiri kwa Magu
Ushauri wa Makonda upo kiroho, unaeuchukulia kimwili huwezi kumwelewa!Hiyo chizi atakayefuata ushauri wa mtu kama Makonda aisee kichwani atakuwa taabani sana. Unaanzaje kufuata ushauri wa kipumbavu kama ule? Emb tumieni akili walau za darasa la kwanza kwa jambo hili zitakupa muongozo.
.Padre amewataka waamini waendelee kufuata maelekezo kama yalivyotolewa na Waziri wa Afya tangu awali.
Na kwamba kama Kanisa bado hawajatoa tamko wataendelea hivyo mpaka uongozi utakavyotoa malekezo zaidi, Pia amesisitiza waamini wawe makini Corona bado ipo.
Ushauri wa Makonda upo kiroho, unaeuchukulia kimwili huwezi kumwelewa!
sisi leo hatusherehekei corona sie tunasherehekea kupaa kwa bwana.period!!
~love rocket±
Ngoja nifuatilie aisee!Kuna roho za kutoka kuzimu pia, ukitaka kujua ile kauli ikitokea wapi chunguza aina ya shangwe alizosema zipigwe.
Angalau Kanisa Katoliki linaongozwa na wasomi na mambo yake pia huwa ya kisomi ukilinganisha na makanisa ya akina bashite. Mungu yupo, hapendi ujinga, chukua tahadhari, mwombe lakini pia tumia akili na rasilimali alizokupa, usimjaribu Bwana Mungu wako.Padre amewataka waamini waendelee kufuata maelekezo kama yalivyotolewa na Waziri wa Afya tangu awali.
Na kwamba kama Kanisa bado hawajatoa tamko wataendelea hivyo mpaka uongozi utakavyotoa malekezo zaidi, Pia amesisitiza waamini wawe makini Corona bado ipo.