johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katoliki hawategemei sadaka kuendesha maisha kama alivyo Gwajima!Padre amewataka waamini waendelee kufuata maelekezo kama yalivyotolewa na Waziri wa Afya tangu awali.
Na kwamba kama Kanisa bado hawajatoa tamko wataendelea hivyo mpaka uongozi utakavyotoa malekezo zaidi, Pia amesisitiza waamini wawe makini Corona bado ipo.
Katoliki hawategemei sadaka kuendesha maisha kama alivyo Gwajima!Padre amewataka waamini waendelee kufuata maelekezo kama yalivyotolewa na Waziri wa Afya tangu awali.
Na kwamba kama Kanisa bado hawajatoa tamko wataendelea hivyo mpaka uongozi utakavyotoa malekezo zaidi, Pia amesisitiza waamini wawe makini Corona bado ipo.
Gwajima kasemaje kwani leo ibadani, kutakuwa na kelele na shangwe za festivalKatoliki hawategemei sadaka kuendesha maisha kama alivyo Gwajima!
Kumteka amemteka yeye alafu anakuja kutabiri nini? Yani nimteke mtu alafu siku ninayotaka kumwachia niseme kuwa atapatikana siku fulani.Tena?? Msijisahaulishe alishawahi kutabiri kupatikana kwa Roma( kabla ya jumapili ile)
Ana karama ya utabiri kumbukeni
Kumteka amemteka yeye alafu anakuja kutabiri nini? Yani nimteke mtu alafu siku ninayotaka kumwachia niseme kuwa atapatikana siku fulani.
Halafu umuite Nabii au?
Blablaatu ilimradi waonekane kwa tv kuwa wana fanya kaziPale nchi ya majuha ipoongozwa na viongozi majuha!
How Ironic hahahaLabda anajua kama alivyojua🤷🏼♀️
Pengine anatumia mbinu zilezile, jamaa inaonekana hukubali kabisa kipaji cha rc
Leo ni jpili kasema mchiachieHiyo chizi atakayefuata ushauri wa mtu kama Makonda aisee kichwani atakuwa taabani sana. Unaanzaje kufuata ushauri wa kipumbavu kama ule? Emb tumieni akili walau za darasa la kwanza kwa jambo hili zitakupa muongozo.
Kumbe kuna wakati Jeshi la polisi linakuwa na akili kuliko "Baba na Mwana"?
Uko sawa mkuu! Makanisa ambayo maaskofu ndio waweka hazina siyo ya kuamini.Katoliki hawategemei sadaka kuendesha maisha kama alivyo Gwajima!
Comment hii itabaki katika kumbukumbu.Sema tatizo corona inaisha bila kuondoka na watu waovu wasio na faida duniani imechukua wenye faida duniani.Watu waovu ni wagumu Sana kufa kuliko watu wema
nawe ndo wale wale naonaPale nchi ya majuha ipoongozwa
na viongozi majuha!
nawe ndo wale wale naona