Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,904
- 1,064
- Thread starter
-
- #41
Asante kwa kunikosoa hapo maana mwalimu wangu wa kiswahili alikufa nikiwa darasa la kwanza nikabaki na mwalimu wangu wa Kigogo.Picha safi sana Mkuu kazi nzuri, ila ni-comment katika ile ya pweza. Kiswahili cha kawaida, pweza ni kitoweleo au kitoweo na siyo mboga.
πππNimempenda yule samaki mkubwa kwenye tenga, tafadhali ukija dar niletee samaki sio picha
Ni kweli kabisa fursa zipo nyingi sana, kilimo ,uvuvi,na biashara nyingine nyingi tu. Tatizo kubwa bado liko kwenye usafiri, mabasi ni mengi sasa hivi lakini hakuna bei maalumu ya nauli kwani zimekuwa zikibadilika badilika sana sijui hawa sumatra wanafanya niniHuo ndio ukweli mwingine wa wazi wazi.
Tena si kweli kwamba serikali imepasahau bali watu tu wako nyuma kwa sababu ya ufinyu wa uelewa.
Lakini pana opportuniyt zote za biashara kubwa kubwa.
Wale wanaopenda kuwekeza nendeni katembeleeni huko muone maeneo ya kuwekeza. Pesa ipo.
Hata mbao zapatikana kwa wingi tu.
Tena njiani nimepita eneo kama kilometa 50 hivi ambazo nadhani hazijawahi kuona jembe tangu Mungu aiumbe ardhi ile. Mtu anaweza kujitosa kulima au kufuga.
Mbona bei si mbaya sana?Ni kweli kabisa fursa zipo nyingi sana, kilimo ,uvuvi,na biashara nyingine nyingi tu. Tatizo kubwa bado liko kwenye usafiri, mabasi ni mengi sasa hivi lakini hakuna bei maalumu ya nauli kwani zimekuwa zikibadilika badilika sana sijui hawa sumatra wanafanya nini
Inabidi apate ruksa kutoka kwa kaka ao kwanza, si kwa kulazimishatafadhali leta na picha za akina dada wa makamo (19 - 30) kutoka Mtwara. Waombe ridhaa wasepe kwenye ukumbi wa jamii. π
KIle kipande kati ya daraja la Mkapa na Somanga, ambacho kilikuwa hakina lami ndio kilikuwa kinabadilisha sana viwango vya nauli. Hivi sasa kinatengenezwa na kitakapokamilia njia yote itakuwa full mkeka na naamini bei itapungua na haitobadilikabadilikaNi kweli kabisa fursa zipo nyingi sana, kilimo ,uvuvi,na biashara nyingine nyingi tu. Tatizo kubwa bado liko kwenye usafiri, mabasi ni mengi sasa hivi lakini hakuna bei maalumu ya nauli kwani zimekuwa zikibadilika badilika sana sijui hawa sumatra wanafanya nini
KIle kipande kati ya daraja la Mkapa na Somanga, ambacho kilikuwa hakina lami ndio kilikuwa kinabadilisha sana viwango vya nauli. Hivi sasa kinatengenezwa na kitakapokamilia njia yote itakuwa full mkeka na naamini bei itapungua na haitobadilikabadilika
Tupo.Ni kweli mabaya tutayaonyesha lakini na mazuri pia tuyakubali. Hiyo ndio Mtwara. Wana Mtwara mpo?
MF asante sana kwa picha nzuri, umenifanya nijisikie niko kwetu japokuwa niko mbali nako. Picha zinafurahisha sana. Shukrani pia kwa waliochangia mawazo, yamenipa mtazamo tofauti na awali.Wadau bado nina picha naandaa lakini nasikitika kuwa nimejikuta nimepoteza picha nyingi sana. It was a techinical problem. Natamani kulia na naona machozi yanaanza kudondoka........ kwa sababu picha ni sehemu yangu ya maishaπ±