Kutoka Mwanaspoti: Aussems: Nilipogoma kupangiwa kikosi shida ikaanza

Hajui kwamba simba ilikuwepo kabla Mo hajazaliwa, aache dharau, simba ni zaidi ya mtu, hi itakuwa ndio sababu kubwa ya kupigwa zengwe aondoke.
Bila Mo Simba haina kitu. Statement kubwa sana hii.
Kwa wenye akili lakini. Kwa oyaoya, haina maana.
 
Teh!! Mkuu kocha si anakuwa nao mazoezini hao wachezaji na yeye ndo anajua hali zao vizuri. Wewe ni daktari wa timu? Kama ndio basi Aussems alichemka.
Makocha dunia nzima huwa wanakuwa na wachezaji mazoezini lakini huwa wanafukuzwa na ambao hawawi na wachezaji mazoezini.
 
Tutakukumbuka ,vp kuhusu Masudi Juma yule mrundi ajamzungumzia
 
Makocha dunia nzima huwa wanakuwa na wachezaji mazoezini lakini huwa wanafukuzwa na ambao hawawi na wachezaji mazoezini.
Dunia gani kocha anapangiwa kikosi?
 
Naishauri klabu yangu ya Simba imuajiri Fred Felix Minziro awe kocha mkuu.

Faida yake ni rahisi tu kumuingilia na kumpangia kikosi nani aanze nani asianze, mshahara utakuwa chini kidogo tofauti na kuajiri mzungu.
Pia CEO Senzo afukuzwe Simba, maana haina maana kuwa na mtendaji mkuu mwenye taaluma na uzoefu mkubwa ktk soka ilhali bado tuna mambo ya uswahili uswahili kama tuliyomfanyia Aussems. Napendekeza Haji Manara apandishwe cheo kuwa CEO mpya.
 
wanaotaka makocha wa bei rahisi ni Yanga halafu damu ya njano haiwezi kuja msimbazi
 
Dunia gani kocha anapangiwa kikosi?
Ulikuwepo wakati wanampangia kikosi. kama walikuwa wanampangia vikosi iweje asifiwe kwa kufika robo fainali ya klabu bingwa ya Afrika.

Wapewe sifa waliokuwa wanampangia kikosi sio yeye.
 
Alafu Huyu Adolph Hazungumzwi Tu Ila Jamaa Ni Coach Haswa... Anafundisha Average Team Ndo Mana Lakini Angepewa Hizi Team Kubwa Huenda Angefanya Makubwa Zaid.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…