Kutoka noah mpaka balimi nne nne kila mtanzania

Kutoka noah mpaka balimi nne nne kila mtanzania

Kutoka noah mpaka balimi nne nne,Acacia Mungu anawaona, mpaka hizo balimi mnataka kutunyima?



Tanzania INAHITAJI AKILI KUBWA KAMA YA TUNDU LISSU!

Aliitwa msaliti akahukumiwa kifo ili nchi iendelee!. Maajabu sawa na vile watemi walikuwa wakizikwa na watu wakiwa hai ili wakawape company!.

UJIMA HAUTAISHA HADI CCM ITAKAPOFURUSHWA NA MUDA!
 
Daaaaah nimesononeka sana maana nishachagua na rangi kabisa

Nikaweka na budget ya mambo mengine chenchi ikibaki

Wapumbavu sana
 
Daaaaah nimesononeka sana maana nishachagua na rangi kabisa

Nikaweka na budget ya mambo mengine chenchi ikibaki

Wapumbavu sana
Mkuu endelea kuwa mvumilivu..Unawaweza ukabahatika ukapata Balimi ya baridiiiiiiiii ili kupooza machungu.
 
Panda hiyo balimi na uiendeshe mkuu, imani yako itakusaidia!
 
Bichwa anazingua sana kumbe mazungumzo yote ni ugoro mtupu
 
Nasikia sio balimi tena,ni pipi kijiti moja moja[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hiyo ndo shida ya kupambana na Lisu,watu wanaongea vitu wakati hawajakubaliana. Sasa hii aibu ni balaa kama nchi
 
Back
Top Bottom