KUTOKA Rwanda: PAUL KAGAME atawamaliza wenzake.....

KUTOKA Rwanda: PAUL KAGAME atawamaliza wenzake.....

Namkubali.jamaa,wapinzannwasio namaaana wanini..cheki anavyo leta maendelea kinchi kimefufuka mwaka 95+..

Sisi tz na.siasa uchwara kila kona hata kwenye mambo ya msingi tunaboa

P.k kama kamaliza wajinga,na wapiga domo blah blah yupo Sahihi
 
Kwanza kabisa Jf haipaswi kuwa sehemu ya kurushiana matusi na kutoa tuhuma ambazo hamna mtu anaweza kuzithibitisha Hatumtendei haki mwanzilishi wa jukwaa hili.JF ni sehemu pekee ambapo tunaweza kusema lolote kwa uwazi lakini sio kwa mtindo huu wa uchochezi katika uzi huu.Mimi nimekwenda Rwanda mara mbili ili kutembea na kujiridhisha kwa yote ambayo nimekuwa nikisikia kuhusu Rwanda na kiongozi wao PK.Pamoja na kuwa na aina fulani ya umimi kama yalivyo baadhi ya makabila ya hapa kwetu,Nakiri kukuta maendeleo ambayo sikuyatarajia.Safari yangu ya pili mikoani mwezi jana imenithibitishia kuwa nchi inahitaji kiongozi thabiti ili iweze kuondoka kwenye ukabila na kufanya maendeleo, Nampongeza Rais wangu JPM kwa kuamua kuanzia Rwanda na kupata pa kuanzia. Badala ya kuporomosha matusi nawashauri watanzania wenzangu kwenda Rwanda kujifunza wengine wanafanikiwa vipi pale ambapo sisi tunashindwa.
 
Mkuu kama uko moyoni mwangu vile. Huyu jamaa ni hataree sio hapa tz tulikua tunachekeana kizembe tuu na kwenda kuuza sura nje ya nchi huko halafu nchi inadorora tuu. Mimi napenda mwanaume wa kweli hata kama wanasema wewe ni muuuaji basi unachokisimamia kinaonekana. Embu itizame Rwanda ilivyosonga mbele?? utaamini walitoka kuchinjana 95 kweli? cheki nchi yenyewe haina hata resource za kutosha lakini PK kaisimamisha na saivi amani ipo nchi nzima isipokua kwa wale wapiga dili na wanaopenda matumbo yao ndo anawatupilia mbali.

PK ni jembe bana hili halina ubishi. Natamani siku moja niwe kiongozi bora kama yeye anayeipenda nchi yake na kuifikisha mbali sio kama huku tz michosho tuu daily kuchekeanachekeana, kuzika halafu maendeleo hamna. pesa inaingizwa tumboni tuu kwa wakubwa na wanawake
Sure mkuu...namkubali sana ni kiongozi mzur
 
hivi kwanini rais kagame analaumiwa sana tena na watu kutoka nje ya Rwanda
 
Siku nyingine jitahidi kuwa na adabu na jifunze kujiheshimu. Kumuhusisha Mheshimiwa Rais wangu Mpendwa wa nchini kwetu Rwanda Mheshimiwa Paul Kagame na ' mauaji ' hayo ya hao uliowataja hapo hujamkosea tu adabu yeye kama Rais bali umetukosea adabu na sisi Wanyarwanda wote na kama una busara tunakuomba utuombe radhi kwani nina uhakika ukiambiwa utoe ushahidi wa kina kabisa kuhusu uliyoyasema utakuwa huna. Kwahiyo kila Kiongozi anayekufa nchini Rwanda basi ameuwawa na Rais Kagame? Mkuu usitutafute Wanyarwanda halafu baadae ukaja ' kutulaumu ' kwani Sera yetu ni ile ile kuwa tumebarikiwa, tuna uwezo na tunaweza kupambana na adui yetu yoyote aliye popote na kwa muda wowote na kwa mbinu zote ili kuleta ustawi kwa nchi yetu ya Rwanda. Kila la kheri!
Ww usipende kuishi kama kuku.
 
Siku nyingine jitahidi kuwa na adabu na jifunze kujiheshimu. Kumuhusisha Mheshimiwa Rais wangu Mpendwa wa nchini kwetu Rwanda Mheshimiwa Paul Kagame na ' mauaji ' hayo ya hao uliowataja hapo hujamkosea tu adabu yeye kama Rais bali umetukosea adabu na sisi Wanyarwanda wote na kama una busara tunakuomba utuombe radhi kwani nina uhakika ukiambiwa utoe ushahidi wa kina kabisa kuhusu uliyoyasema utakuwa huna. Kwahiyo kila Kiongozi anayekufa nchini Rwanda basi ameuwawa na Rais Kagame? Mkuu usitutafute Wanyarwanda halafu baadae ukaja ' kutulaumu ' kwani Sera yetu ni ile ile kuwa tumebarikiwa, tuna uwezo na tunaweza kupambana na adui yetu yoyote aliye popote na kwa muda wowote na kwa mbinu zote ili kuleta ustawi kwa nchi yetu ya Rwanda. Kila la kheri!
Usitishie nyau kwa mtu mzima wewe.
Kama hauelewi mauaji yanayifanywa na tawala za kiafrika, aheri ungefunga "kopo"lako.
Serikali inataasisi strong sana za kiupelelezi. Ikitaka kuufahamu ukweli kuhusu kadhia aliyopata raia fulani, huitwa mkurugenzi anayehusika na kuambiwa "kesho nataka nipate ripoti kamili kuhusu ukweli wa mauaji ya raia abc". Na lazima kabla ya kesho lazima ukweli wa kina huwa umepatikana.
Ukiona upelelezi haukamiliki na ukweli haufahamiki elewa wazi kuwa kuna mkono wa serikali.
Unaruhusiwa kubishi kwa kupayuka ukiambatanisha na vielelezo vya ku-support hoja yako. Hapo utaonekana unachokitetea kinaukweli.
Lakini hii ya kujenga hoja za blah blah ni kwa faida ya nani?
 
Hii ya Ben saanane ni muendelezo wa wale ambao wameshatangulia
 
Usitishie nyau kwa mtu mzima wewe.
Kama hauelewi mauaji yanayifanywa na tawala za kiafrika, aheri ungefunga "kopo"lako.
Serikali inataasisi strong sana za kiupelelezi. Ikitaka kuufahamu ukweli kuhusu kadhia aliyopata raia fulani, huitwa mkurugenzi anayehusika na kuambiwa "kesho nataka nipate ripoti kamili kuhusu ukweli wa mauaji ya raia abc". Na lazima kabla ya kesho lazima ukweli wa kina huwa umepatikana.
Ukiona upelelezi haukamiliki na ukweli haufahamiki elewa wazi kuwa kuna mkono wa serikali.
Unaruhusiwa kubishi kwa kupayuka ukiambatanisha na vielelezo vya ku-support hoja yako. Hapo utaonekana unachokitetea kinaukweli.
Lakini hii ya kujenga hoja za blah blah ni kwa faida ya nani?

You're absolutely stupid.
 
Mkuu kama uko moyoni mwangu vile. Huyu jamaa ni hataree sio hapa tz tulikua tunachekeana kizembe tuu na kwenda kuuza sura nje ya nchi huko halafu nchi inadorora tuu. Mimi napenda mwanaume wa kweli hata kama wanasema wewe ni muuuaji basi unachokisimamia kinaonekana. Embu itizame Rwanda ilivyosonga mbele?? utaamini walitoka kuchinjana 95 kweli? cheki nchi yenyewe haina hata resource za kutosha lakini PK kaisimamisha na saivi amani ipo nchi nzima isipokua kwa wale wapiga dili na wanaopenda matumbo yao ndo anawatupilia mbali.

PK ni jembe bana hili halina ubishi. Natamani siku moja niwe kiongozi bora kama yeye anayeipenda nchi yake na kuifikisha mbali sio kama huku tz michosho tuu daily kuchekeanachekeana, kuzika halafu maendeleo hamna. pesa inaingizwa tumboni tuu kwa wakubwa na wanawake
kuwa kama yeye lakini sio kuua kwa kweli, hiyo ndo silaha yake?
 

1995: Journalist Manasse Mugabo disappears in Kigali; not seen again

1996: First post-genocide Interior Minister Seth Sendashonga and businessman Augustin Bugirimfura shot dead in Nairobi

1998: Journalist Emmanuel Munyemanzi disappears from Kigali; body spotted in city but not returned to family

1998: RPF MP and government intelligence chief before the genocide Theoneste Lizinde assassinated in Nairobi

Huu mtiririko unatisha kwa uhai na ustawi wa vyama vya siasa ndani ya nchi yake.



2000: First post-genocide President Pasteur Bizimungu's adviser, Asiel Kabera, shot dead in Kigali

2003: EX-RPF officer and top judge Augustin Cyiza and magistrate Eliezar Runyaruka disappear from Kigali; not seen again

2003: Opposition MP Leonard Hitimana disappears from Kigali; not seen again
2010: Ex-RPF officer Faustin Kayumba Nyamwasa shot and wounded in Johannesburg
2010: Journalist Jean-Leonard Rugambage gunned down in Kigali
2010: Reporter Dominique Makeli survives abduction in Kampala

2013;Exiled former Rwandan intelligence chief Patrick Karegeya has been apparently murdered in a Johannesburg hotel room, South African police say.
Mr Karegeya, 53, formerly head of Rwanda's foreign intelligence service, had lived for the past six years in South Africa, where he had been granted political asylum.

Acha zako! Kagame the strong leader. Usipangie nchi jinsi ya kutawala.
Huna uhakika kama kagame kafanya hayo
 
Back
Top Bottom