KUTOKA Rwanda: PAUL KAGAME atawamaliza wenzake.....

Namkubali.jamaa,wapinzannwasio namaaana wanini..cheki anavyo leta maendelea kinchi kimefufuka mwaka 95+..

Sisi tz na.siasa uchwara kila kona hata kwenye mambo ya msingi tunaboa

P.k kama kamaliza wajinga,na wapiga domo blah blah yupo Sahihi
 
Kwanza kabisa Jf haipaswi kuwa sehemu ya kurushiana matusi na kutoa tuhuma ambazo hamna mtu anaweza kuzithibitisha Hatumtendei haki mwanzilishi wa jukwaa hili.JF ni sehemu pekee ambapo tunaweza kusema lolote kwa uwazi lakini sio kwa mtindo huu wa uchochezi katika uzi huu.Mimi nimekwenda Rwanda mara mbili ili kutembea na kujiridhisha kwa yote ambayo nimekuwa nikisikia kuhusu Rwanda na kiongozi wao PK.Pamoja na kuwa na aina fulani ya umimi kama yalivyo baadhi ya makabila ya hapa kwetu,Nakiri kukuta maendeleo ambayo sikuyatarajia.Safari yangu ya pili mikoani mwezi jana imenithibitishia kuwa nchi inahitaji kiongozi thabiti ili iweze kuondoka kwenye ukabila na kufanya maendeleo, Nampongeza Rais wangu JPM kwa kuamua kuanzia Rwanda na kupata pa kuanzia. Badala ya kuporomosha matusi nawashauri watanzania wenzangu kwenda Rwanda kujifunza wengine wanafanikiwa vipi pale ambapo sisi tunashindwa.
 
Sure mkuu...namkubali sana ni kiongozi mzur
 
hivi kwanini rais kagame analaumiwa sana tena na watu kutoka nje ya Rwanda
 
Ww usipende kuishi kama kuku.
 
Usitishie nyau kwa mtu mzima wewe.
Kama hauelewi mauaji yanayifanywa na tawala za kiafrika, aheri ungefunga "kopo"lako.
Serikali inataasisi strong sana za kiupelelezi. Ikitaka kuufahamu ukweli kuhusu kadhia aliyopata raia fulani, huitwa mkurugenzi anayehusika na kuambiwa "kesho nataka nipate ripoti kamili kuhusu ukweli wa mauaji ya raia abc". Na lazima kabla ya kesho lazima ukweli wa kina huwa umepatikana.
Ukiona upelelezi haukamiliki na ukweli haufahamiki elewa wazi kuwa kuna mkono wa serikali.
Unaruhusiwa kubishi kwa kupayuka ukiambatanisha na vielelezo vya ku-support hoja yako. Hapo utaonekana unachokitetea kinaukweli.
Lakini hii ya kujenga hoja za blah blah ni kwa faida ya nani?
 
Hii ya Ben saanane ni muendelezo wa wale ambao wameshatangulia
 

You're absolutely stupid.
 
kuwa kama yeye lakini sio kuua kwa kweli, hiyo ndo silaha yake?
 
Acha zako! Kagame the strong leader. Usipangie nchi jinsi ya kutawala.
Huna uhakika kama kagame kafanya hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…