Kutoka Serikali imefanya, hadi Rais ametoa

Kutoka Serikali imefanya, hadi Rais ametoa

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Kuna upotofu Fulani ulianza toka enzi za Raisi aliyependa kuabudiwa JPM na sasa umekuwa ndio utaratibu.

Utasikia Raisi Katoa PESA kadhaa mara Raisi katafuta PESA kuafanya kitu kadhaa.

Hivi Rais Katoa wapi hizo PESA kama sio Kodi yangu? Hivi ikiwa Raisi kakopa PESA wakulipa ni nani kama sio Mimi na wewe na yule tunaolipa Kodi?

Kama anayetoa pesa ni Raisi, Bungeni mnapeleka bajeti Ili ijadiliwe na kupitishwa kwa sababu Gani?

Mheshimiwa Rais Samia, kemea unafiki huu unaendelea. Kataa viashiria vya kuabudiwa kama Mtangulizi wako.
 
Utasikia Raisi Katoa PESA kadhaa mara Raisi katafuta PESA kuafanya kitu kadhaa.

Hivi Raisi Katoa wapi hizo PESA kama sio Kodi yangu? Hivi ikiwa Raisi kakopa PESA wakulipa ni nani kama sio Mimi na wewe na yule tunaolipa Kodi?

Kama anayetoa pesa ni Raisi, Bungeni mnapeleka bajeti Ili ijadiliwe na kupitishwa kwa sababu Gani?[emoji1752][emoji2827]
 
Wanatuona wananchi kama hatuna akili vile. Halafu kila siku matozo hayaishi. Wanaumia wengine, sifa za kijinga wanakuja kupewa wengine!!
 
Kuna upotofu Fulani ulianza toka enzi za Raisi aliyependa kuabudiwa JPM na sasa umekuwa ndio utaratibu.

Utasikia Raisi Katoa PESA kadhaa mara Raisi katafuta PESA kuafanya kitu kadhaa.

Hivi Rais Katoa wapi hizo PESA kama sio Kodi yangu? Hivi ikiwa Raisi kakopa PESA wakulipa ni nani kama sio Mimi na wewe na yule tunaolipa Kodi?

Kama anayetoa pesa ni Raisi, Bungeni mnapeleka bajeti Ili ijadiliwe na kupitishwa kwa sababu Gani?

Mheshimiwa Rais Samia, kemea unafiki huu unaendelea. Kataa viashiria vya kuabudiwa kama Mtangulizi wako.
Kwani lini Magufuli aliwaambia watu waseme yeye ndio kafanya na si serikali? Enzi za Magufuli kila kosa na baya rais anahusika ila sasa hivi mabaya yote yanaishia kwa watumishi wake Samia tu yani Samia hawajibiki kwa lolote yupo kimya hata tukisia nchi imenzisha vita lawama zitaenda kwa jeshi ila Samia atabaki hana kosa.

Kwahiyo upuuzi huwa mnaanzisha wenyewe, kuabudiwa na kutokukosea ni sifa na mmoja tu Mungu. Kama mlimpa Magufuli sifa ya kuabudiwa basi na Samia mmempa sifa ya kuwa kutokukosea hana mapungufu.
 
Kuna upotofu Fulani ulianza toka enzi za Raisi aliyependa kuabudiwa JPM na sasa umekuwa ndio utaratibu.

Utasikia Raisi Katoa PESA kadhaa mara Raisi katafuta PESA kuafanya kitu kadhaa.

Hivi Rais Katoa wapi hizo PESA kama sio Kodi yangu? Hivi ikiwa Raisi kakopa PESA wakulipa ni nani kama sio Mimi na wewe na yule tunaolipa Kodi?

Kama anayetoa pesa ni Raisi, Bungeni mnapeleka bajeti Ili ijadiliwe na kupitishwa kwa sababu Gani?

Mheshimiwa Rais Samia, kemea unafiki huu unaendelea. Kataa viashiria vya kuabudiwa kama Mtangulizi wako.
Acha makasiliko Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi sana hasa sekta muhimu zinazotulenga wananchi direct amefanikisha huduma ya maji safi na salama nchi nzima pia amefanikisha umeme mpaka vijijini ameboresha elimu pia ameimarisha sekta ya afya. Najua unajua ila nakukumbusha tu kazi mama
 
Kwani lini Magufuli aliwaambia watu waseme yeye ndio kafanya na si serikali? Enzi za Magufuli kila kosa na baya rais anahusika ila sasa hivi mabaya yote yanaishia kwa watumishi wake Samia tu yani Samia hawajibiki kwa lolote yupo kimya hata tukisia nchi imenzisha vita lawama zitaenda kwa jeshi ila Samia atabaki hana kosa.

Kwahiyo upuuzi huwa mnaanzisha wenyewe, kuabudiwa na kutokukosea ni sifa na mmoja tu Mungu. Kama mlimpa Magufuli sifa ya kuabudiwa basi na Samia mmempa sifa ya kuwa kutokukosea hana mapungufu.
Acha makasiliko watu tunamkubali mama amefanya mengi sana acha tumtaje tu kwakweli
 
Utasikia Raisi Katoa PESA kadhaa mara Raisi katafuta PESA kuafanya kitu kadhaa.

Hivi Raisi Katoa wapi hizo PESA kama sio Kodi yangu? Hivi ikiwa Raisi kakopa PESA wakulipa ni nani kama sio Mimi na wewe na yule tunaolipa Kodi?

Kama anayetoa pesa ni Raisi, Bungeni mnapeleka bajeti Ili ijadiliwe na kupitishwa kwa sababu Gani?[emoji1752][emoji2827]
Kwani bila yeye kutoa izo pesa ingekuaje acha makasiliko mjomba
 
Kuna upotofu Fulani ulianza toka enzi za Raisi aliyependa kuabudiwa JPM na sasa umekuwa ndio utaratibu.

Utasikia Raisi Katoa PESA kadhaa mara Raisi katafuta PESA kuafanya kitu kadhaa.

Hivi Rais Katoa wapi hizo PESA kama sio Kodi yangu? Hivi ikiwa Raisi kakopa PESA wakulipa ni nani kama sio Mimi na wewe na yule tunaolipa Kodi?

Kama anayetoa pesa ni Raisi, Bungeni mnapeleka bajeti Ili ijadiliwe na kupitishwa kwa sababu Gani?

Mheshimiwa Rais Samia, kemea unafiki huu unaendelea. Kataa viashiria vya kuabudiwa kama Mtangulizi wako.
Hili jambo limetolewa maelezo mara nyingi sana na Serikali Kwa nini wanasema hivyo ila hamuelewi sasa ni kuwaacha hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom