Sifa kuu ya ukweli ni kujiamini na uwezi kujiamini kabla ya kujitambua. HongeraNajiamini mkuu,huwa sifichi pande ninazozishabikia.
Nikipenda napenda na ninajitoa pamoja na kujivunia kwa kile ninachokipenda/kukishabikia.
Shukraan.
Mpira umeisha au??Prisons Mungu anawaona, mnawafanya nini mabingwa wetu wa mwaka huu.😎 😵😛
Tulia kama unanyolewa, Simba anashinda hii game[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kiko wapiiiiiii?
Moto wa mabua haukeshi,hii ndio Simba halisi sasa.
bago kdg mkuuMpira umeisha au??
Dakika ya 87/88 hiyo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Tulia kama unanyolewa, Simba anashinda hii game
Kapime typhoid mkuutumbo linaniuma jamaniiii
Mabingwa wa ndondo cup haoPrisons Mungu anawaona, mnawafanya nini mabingwa wetu wa mwaka huu.😎 😵😛
Ya Raby,naomba usikilize kilio changu mimi mwanao Kipenzi Nifah na Wanayanga wenzangu wote.Prison 2 Simba 1
Dakika ya 87
Atakuwa mjamzitooKapime typhoid mkuu
Wanaume wa njano watapunguza gape la point,tulizidiwa kwa point 8 nafikiri.Lakn hata akifungwa na yule wa njano akishinda,,,!nani ataongoza ligi
Mbio za sakafuni huishia ukingoni... ukingo wa simba upo Mbeya...Hii simba vp tena!!!!
Duuuuh Azam wamefufuka?Kichaa haponi..
Naona chizi anafukuzwa na makopo yake
Azam,3 mwadui 1
A