Kutoka Sokoine: Tanzania Prisons yairarua kirahisi Simba SC kwa Mabao 2 kwa 1

Wa matopeni uzi wenu huu, mbona hamjai humu, kama mnavyoshindaga hahahahaaa. Mbeya huwa hawaangalii rekodi za nyuma, mkileta ubishoo eti mnaongoza ligi mnatandikwa kama kawa. Poleni ndio mpira😀
 
Dakika ya 87/88 hiyo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bora umekuja maana nilikumiss mtani wangu wa ukweli.
Anyway ndio maisha mtani, ila tutarudi kwenye viwango veytu very soon na ndoo tunabeba mapemaaa😀
 
Ya Raby,naomba usikilize kilio changu mimi mwanao Kipenzi Nifah na Wanayanga wenzangu wote.
Wajua jinsi gani tumeteseka Ya Raby,tupe furaha nasi kama wengine.
Wape ushindi Prisons...Aamiyn.
[emoji120] [emoji120] [emoji120]
Ameen
 
Na mpiraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aa.........
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Yanga mbona mnashadadia sana game ya Simba wakati haiwahusu
 
ngoja nirudi kumpongeza Donald Trump🙄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…