Kutoka Songea: Vodacom Premier League VPL, Majimaji Vs Simba SC

Kutoka Songea: Vodacom Premier League VPL, Majimaji Vs Simba SC

Hahaaa. Nshapoa tayari ndio mpira ule Sesten. Hata Liverpool alipitia hayo. Teh.
Usinikumbushe ya Liver Hajar, yule golikipa wetu si bure atakua alipewa pesa na wacheza kamari maana si kwa magoli ya namna ile
 
Itakuwa sababu sio kawaida asitokee maana anaweza asiandike ila akaacha hata like ambayo huwa inaniaminisha kwamba yupo.
Naamini akimaliza kulitembeza kombe la ubingwa atarudi kuja kukupa pole ya kuikosa hata nafasi ya pili, hahahaaa
 
Naamini akimaliza kulitembeza kombe la ubingwa atarudi kuja kukupa pole ya kuikosa hata nafasi ya pili, hahahaaa
Hahahaaaa. Huwezi amini nilijipanga kuangalia mechi jana usiku ila baada ya kupigwa kimoja cha mapema nikajisemea cha kujisononesha nini nkaenda zangu kulala kumbe huku nyuma magoli yaliongezeka lol.

Ila nshapoa sasa.
 
Hahahaaaa. Huwezi amini nilijipanga kuangalia mechi jana usiku ila baada ya kupigwa kimoja cha mapema nikajisemea cha kujisononesha nini nkaenda zangu kulala kumbe huku nyuma magoli yaliongezeka lol.

Ila nshapoa sasa.
Ila mwaka huu kweli game imewakataa
 
Hahaaaa. Sio kwa dharau hizo Sesten. Ila ujue haya ni mambo ya kupita tu lakini.
Unajua mipango ya Yanga siku zote ni kuifunga Simba tu baasi mnaridhika, lakini mkienda kimataifa....looh mama yangu! mnakua mdebwedo kama urojo wa forodhani Unguja
 
Back
Top Bottom