BASHITE wa Kolomije
[emoji12] [emoji12] [emoji12] Kama nakuona unavyoomba mpira uishe [emoji23] [emoji23] [emoji23]we endelea tu kujipa matumaini hah hah
hah hah hah Nifah we utakuwa mtabiri aisee...kama upo mawazoni mwangu vile hah hah adui muombee njaa tu[emoji12] [emoji12] [emoji12] Kama nakuona unavyoomba mpira uishe [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pole sana kamanda,mimi ni Yanga tu.Commander mi timu zote hizo zinaniuma sana. Kwa ukweli Toto kushuka ni pigo na Yanga kukosa point na ni pressure kwa mnyama yupo karibu.
Kwangu mimi ni sawa na kupata mali kwa kumtoa mwanao kafara.Pole sana kamanda,mimi ni Yanga tu.
Tukiwafunga Toto ndiyo furaha yangu.
Umenikumbusha Robertson,nimeimisssss [emoji24] [emoji24] [emoji24]nimeongezea na dompo 2 nasubiria kilio cha jangwani🙄
VIPI HUTUMII JONI MTEMBEZI😵Umenikumbusha Robertson,nimeimisssss [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Wewe mtu wa Mwanza nini kamanda? [emoji12]Kwangu mimi ni sawa na kupata mali kwa kumtoa mwanao kafara.
Goooooooooooooooooo
Mkuu kidogo nipate tumbo la kuharisha hah hah hah
[HASHTAG]#ubingwamsimbazilazima[/HASHTAG]
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
Mbona bado hawajashinda hadi sasa hv.Wanashinda mapema tu
Wachawi wameingia hahahaaaaaaGoooooooooooooooooo
[HASHTAG]#ubingwamsimbazilazima[/HASHTAG]
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
naona yanga muda unavyozid kwenda wanachanganyikiwa.