Ufipa ni afadhali wakajikita zaidi kusaka mtaji wa kukarabati ofisi zao, badala ya kupoteza muda kupinga juhudi za serikali katika kuwatetea wakulima wa korosho.
Sasa unaposema hakuna maendeleo na hakuna chochote walichofanya, hv kuna interval gani kubwa hapo Hadi Leo hii.. Kwan maendeleo yanakuja kwa siku 1 au 2...?