ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,355
- 4,260
Inasikitisha sana wadau lakini ndio katika kupambana na maisha si lelemama.
Ni hivi baada ya kelele za muda mrefu za maboss wetu wenye asili ya Asia.
Nimejipanga 2020 niachane nayo na nitafute vya kwangu. Hii ni baada ya uvumilivu wa hali ya juu ya vichambo vya hawa raia ukizingatia hali ya soko la ajira na jinamizi la kitaa haswa sisi wenye familia ila sasa enough is enough.
Bahati mbaya sikuwekeza maji zaidi ya hizi milioni mbili na kwakuwa mimi ndio nitavunja mkataba basi sitegemei kupata termination benefit yoyote na Ile pesa ya NSSF naimani sitoweza ipata kwani tunaikopesha serikali yetu itujengee flyovers.
Baada ya kutafakari biashara nyingi zinazoweza nipatia cash kwa haraka nikapendekeza biashara ya kuuza nguo sokoni mfano Tandika na the like.
Sikumshirikisha mke wangu naimani atanirudisha nyuma yaani hii ni one man army.
Ninachoomba ni sapoti kutoka kwenu wadau maana sijajua undani hasa wa hii biashara. Mkinipatia uzoefu wa kutosha mtakuwa mmenisaidia.
Nawasilisha.
Ni hivi baada ya kelele za muda mrefu za maboss wetu wenye asili ya Asia.
Nimejipanga 2020 niachane nayo na nitafute vya kwangu. Hii ni baada ya uvumilivu wa hali ya juu ya vichambo vya hawa raia ukizingatia hali ya soko la ajira na jinamizi la kitaa haswa sisi wenye familia ila sasa enough is enough.
Bahati mbaya sikuwekeza maji zaidi ya hizi milioni mbili na kwakuwa mimi ndio nitavunja mkataba basi sitegemei kupata termination benefit yoyote na Ile pesa ya NSSF naimani sitoweza ipata kwani tunaikopesha serikali yetu itujengee flyovers.
Baada ya kutafakari biashara nyingi zinazoweza nipatia cash kwa haraka nikapendekeza biashara ya kuuza nguo sokoni mfano Tandika na the like.
Sikumshirikisha mke wangu naimani atanirudisha nyuma yaani hii ni one man army.
Ninachoomba ni sapoti kutoka kwenu wadau maana sijajua undani hasa wa hii biashara. Mkinipatia uzoefu wa kutosha mtakuwa mmenisaidia.
Nawasilisha.