sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Leo Mnyama katakata ipasavyo kisiwani Unguja, katika mechi ya kirafiki dhidi ya timu ya timu bora kabisa kwa sasa kisiwani Unguja.. Kimbunga F.C.
Hii ni baada ya kuondoka na ushindi mnono wa goli 5-2.. Ushindi huu uliandamana na Kimbunga cha pasi rula.. Kimbunga cha ufundi mwingi.. Kimbunga cha soka maridadi sana.. Kimbunga cha ushindi mnono.. n.k
Waliotupia kambani leo ni Ajibu [goli 2].. Danny Lyanga 1, Mgosi 1.. na la mwisho kafunga Pro, ambaye yupo katika majaribio.
Jumapili ya wiki hii Mnyama huyu huyu ambae hana masikhara kabisa kwa sasa.. atakua dimbani tena kupambana na Kombaini ya Unguja.
NOTE: Narudia tena.. 12.12.2015 Azam F.C mtatusamehe tu.. lazima tushinde, maana hakuna namna.
Hii ni baada ya kuondoka na ushindi mnono wa goli 5-2.. Ushindi huu uliandamana na Kimbunga cha pasi rula.. Kimbunga cha ufundi mwingi.. Kimbunga cha soka maridadi sana.. Kimbunga cha ushindi mnono.. n.k
Waliotupia kambani leo ni Ajibu [goli 2].. Danny Lyanga 1, Mgosi 1.. na la mwisho kafunga Pro, ambaye yupo katika majaribio.
Jumapili ya wiki hii Mnyama huyu huyu ambae hana masikhara kabisa kwa sasa.. atakua dimbani tena kupambana na Kombaini ya Unguja.
NOTE: Narudia tena.. 12.12.2015 Azam F.C mtatusamehe tu.. lazima tushinde, maana hakuna namna.