Kutoka Uturuki: Friendly Match, Simba SC yaichapa F.C.E Ksaifa mabao 3-1

Kutoka Uturuki: Friendly Match, Simba SC yaichapa F.C.E Ksaifa mabao 3-1

Mabingwa wa nchi ya Tanzania Simba Sports Club leo Agosti 4, 2018 imechapa bila huruma F.C.E. Ksaifa mabao 3-1 katika mchezo safi wa kirafiki uliofanyika kwenye dimba la Kartepe Green Park.

Simba ikionyesha kandanda safi na la kuvutia kwenye mchezo huo, ilikuwa ya kwanza kuandika bao kupitia kwa Emmanuel Okwi katika dakika ya 16' kipindi cha kwanza bao lililodumu hadi mapumziko.

Kipindi cha pili Emmanuel Okwi aliipatia tena bao Simba dakika ya 50' ambapo lilidumu kwa dakika 4 tu baada ya F.C.E. Ksaifa kuandika bao lao la kwanza katika dakika 54 kupitia kwa mchezaji Nader Al-krinsui.

Mshambuliaji matata Meddie Kagere alihitimisha ukurasa wa mabao katika dakika ya 87' akifunga bao la tatu, hivyo mchezo huo kumalizika kwa Simba kuibuka na ushindi huo mnono wa mabao 3 dhidi ya bao 1 la F.C.E. Ksaifa.View attachment 827078
Mbona uwanja kama wa gymkhana
 
Gongowazi na Clouds FM msibadilishe matokeo. Simba hii ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]


Ndiyo Ninavizia Hivi NdalaFC na CloudsFM Kama Hawajatangaza SimbSC kafungwa Goli 6
😀😀😀
 
Kasome gazeti la Dimba....serikali yako imefanya figisu bila hivyo Yanga ingechukua ubingwa miaka 10 mfululizo...Manji kachukizwa na Jerry Muro kuomba msaada kwa MO..anaweka mezani 60 billions ...itakuwa timu tajiri kupita zote ukanda huu
 
Kasome gazeti la Dimba....serikali yako imefanya figisu bila hivyo Yanga ingechukua ubingwa miaka 10 mfululizo...Manji kachukizwa na Jerry Muro kuomba msaada kwa MO..anaweka mezani 60 billions ...itakuwa timu tajiri kupita zote ukanda huu
Endeleeni kuota ndoto na kujifariji. Huenda mkaepusha vifo visivyokuwa na lazima..Kanjibai..Kanjibai..Kanjibai[emoji3][emoji3][emoji3]
 
anaweka mezani 60 billions ...itakuwa timu tajiri kupita zote ukanda huu

Umeanza kushabikia lini mpira?Au umesahau hiyo ilikuwa ahadi ya Manji wakati ameanza kuwalea pale Yanga? Aliahidi klabu tishio barani Afrika na uwanja wa kisasa, je kafanya hivyo?
 
Kasome gazeti la Dimba....serikali yako imefanya figisu bila hivyo Yanga ingechukua ubingwa miaka 10 mfululizo...Manji kachukizwa na Jerry Muro kuomba msaada kwa MO..anaweka mezani 60 billions ...itakuwa timu tajiri kupita zote ukanda huu
Billion 60 za zimbabwe au...? Vyura safari hii kazi mnayo kwa kikosi chenu na njaa mliyonayo mnahitaji sana maombi, kuna siku mtakuja kugomewa na wachezaji.....badilikeni
 
Simba ni mbumbumbu....
FB_IMG_15334508126618215.jpg
 
Nimeangalia ligi ya Morocco hii timu sijaiona hata daraja la pili, itakuwa walicheza na wahudumu wa hotel
 
Risala ya marehemu. Ambapo kwa sasa hakuna nafasi...pole sana

Halafu hapo kwenye hizo rekodi zako uchwara nimeangalia nimeona Simba SC, Azam FC, sasa Yanga haina SC wala FC wala LTD mnashughulika na nini? Au wale Vyura [emoji196][emoji196]wanaofugwa pale bwawani? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nimeangalia ligi ya Morocco hii timu sijaiona hata daraja la pili, itakuwa walicheza na wahudumu wa hotel
Lakini wadhamini wa mchezo huo walikuwa Gormahia 7up [emoji3][emoji3]
 
Simba bhana! ni sawa na kumpiga mlevi kisha utambe kwa wenzako! Bora ya azam wanaojifua na timu za Uganda kama nawaelewa hivi
 
Back
Top Bottom