Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Mkuu, upo?[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, upo?[emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Simba kwa sasa labda icheze yenyewe kwa yenyewe ndipo inaweza kujifunga ila hakuna timu ya kufunga Simba kwa Sasa.
Hata wanawake huwa wanasema hivyo kabao kamoja tu hako, baada ya wiki mbili anasema haoni siku zake.
😁😁😁Hapa harudi tena atakuwa ameanza clinic
Ni majukumu yananifanya nisionekane jukwaani.. Ila nipo Mkuu..Mkuu, upo?
Mbona uwanja kama wa gymkhanaMabingwa wa nchi ya Tanzania Simba Sports Club leo Agosti 4, 2018 imechapa bila huruma F.C.E. Ksaifa mabao 3-1 katika mchezo safi wa kirafiki uliofanyika kwenye dimba la Kartepe Green Park.
Simba ikionyesha kandanda safi na la kuvutia kwenye mchezo huo, ilikuwa ya kwanza kuandika bao kupitia kwa Emmanuel Okwi katika dakika ya 16' kipindi cha kwanza bao lililodumu hadi mapumziko.
Kipindi cha pili Emmanuel Okwi aliipatia tena bao Simba dakika ya 50' ambapo lilidumu kwa dakika 4 tu baada ya F.C.E. Ksaifa kuandika bao lao la kwanza katika dakika 54 kupitia kwa mchezaji Nader Al-krinsui.
Mshambuliaji matata Meddie Kagere alihitimisha ukurasa wa mabao katika dakika ya 87' akifunga bao la tatu, hivyo mchezo huo kumalizika kwa Simba kuibuka na ushindi huo mnono wa mabao 3 dhidi ya bao 1 la F.C.E. Ksaifa.View attachment 827078
😂😂😂😂😂😂😂 good day mkuuHata wanawake huwa wanasema hivyo kabao kamoja tu hako, baada ya wiki mbili anasema haoni siku zake.
Ndio timu pekee itakayoleta upinzani kwa simbaNa siku Simba akidroo na Biashara ya Mara, sjui itakuajee yaaani
Kuweka kumbukumbu sawa, Timu ya Taifa ya Palestina ilitoka sare na Taifa Stars.Katimu ka Palestina hako. Sikujua wanacheza Football.
Gongowazi na Clouds FM msibadilishe matokeo. Simba hii ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hata wanawake huwa wanasema hivyo kabao kamoja tu hako, baada ya wiki mbili anasema haoni siku zake.
Endeleeni kuota ndoto na kujifariji. Huenda mkaepusha vifo visivyokuwa na lazima..Kanjibai..Kanjibai..Kanjibai[emoji3][emoji3][emoji3]Kasome gazeti la Dimba....serikali yako imefanya figisu bila hivyo Yanga ingechukua ubingwa miaka 10 mfululizo...Manji kachukizwa na Jerry Muro kuomba msaada kwa MO..anaweka mezani 60 billions ...itakuwa timu tajiri kupita zote ukanda huu
anaweka mezani 60 billions ...itakuwa timu tajiri kupita zote ukanda huu
Billion 60 za zimbabwe au...? Vyura safari hii kazi mnayo kwa kikosi chenu na njaa mliyonayo mnahitaji sana maombi, kuna siku mtakuja kugomewa na wachezaji.....badilikeniKasome gazeti la Dimba....serikali yako imefanya figisu bila hivyo Yanga ingechukua ubingwa miaka 10 mfululizo...Manji kachukizwa na Jerry Muro kuomba msaada kwa MO..anaweka mezani 60 billions ...itakuwa timu tajiri kupita zote ukanda huu
Risala ya marehemu. Ambapo kwa sasa hakuna nafasi...pole sanaSimba ni mbumbumbu....View attachment 827357