Kutoka Uwanja Karume: Vodacom Premier League 'VPL' Biashara United Vs Simba SC

53' Goooooooooooooooooooaaal Gooooooooooaaall...Miraji Athumani anaipatia simba bao la pili

Ilikuwa free kick iliyopigwa Ibrahim Ajibuu na kumkuta Miraji ambaye aliunganisha kwa Kichwa

Biashara Utd 0-2 Simba SC
Ewaaaaaaaas
 
62' Biashara wanapata kona..Inapigwa kona lakini inaokolewa na kuwa mpira wa kurusha

Utd wanajaribu kupenya ngome ya Simba lakini hawajafanikiwa
 
mnavionea hivyo vitimu vidogo vidogo, subirini mkutane na timu ya wananchi YANGA YA KIMATAIFA mtapokea kichapo cha mbwa mwizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…