brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Mbeya City leo wako nyumbani uwanja Sokoine jijini Mbeya kumenyana na vinara wa ligi kuu vijana wa Jangwani Yanga.
Yanga inasaka record kuwa timu ya kwanza katika ligi ya Tanzania kufikisha points 50 kwa michezo michache zaidi yaani michezo 18.
Mpaka sasa Yanga imecheza michezo 17 na kujikusanyia points 47 huku Mbeya City ikicheza michezo 17 na kujikusanyia points 23 wakishika nafasi ya 8.
Mbeya city imeahidi kumaliza mwaka 2018 kwa kishindo cha ushindi wakiwa nyumbani.
Wapinzani wa karibu wa Yanga kilele nao watakuwa Morogoro uwanja Manungu kupepetana Mtibwa Sugar wakisaka ushindi kupunguza gap baina yao na Yanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanga inasaka record kuwa timu ya kwanza katika ligi ya Tanzania kufikisha points 50 kwa michezo michache zaidi yaani michezo 18.
Mpaka sasa Yanga imecheza michezo 17 na kujikusanyia points 47 huku Mbeya City ikicheza michezo 17 na kujikusanyia points 23 wakishika nafasi ya 8.
Mbeya city imeahidi kumaliza mwaka 2018 kwa kishindo cha ushindi wakiwa nyumbani.
Wapinzani wa karibu wa Yanga kilele nao watakuwa Morogoro uwanja Manungu kupepetana Mtibwa Sugar wakisaka ushindi kupunguza gap baina yao na Yanga.
Sent using Jamii Forums mobile app