Kutoka Uwanja wa Sokoine, Mbeya: Mbeya City vs Yanga SC

Hatari sanaaaaa. Semeni sasa [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Hahahaaaaa. Aumiage tu [emoji126][emoji126][emoji126]
We baki hapo hapo. Eti upepo. Teh teh
Naona ushaanza kutupeleka Kimataifa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bahati, mkienda mikoani yote fyekelea mbali. [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani kapigwa Viwili.
Ana bahati sana huyu jamaa. Aanzishage tena tuondoke na ushindi. [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakika Mkuu
Ama kweli we Yanga Damu ,Daima Mbele ,Nyuma Mwiko

Mpaka sasa najifikiria ni aina gani ya zawadi inakufaa hasa kuhusu mpira

Wanipa raha weye na timu yako



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama kweli we Yanga Damu ,Daima Mbele ,Nyuma Mwiko

Mpaka sasa najifikiria ni aina gani ya zawadi inakufaa hasa kuhusu mpira

Wanipa raha weye na timu yako



Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa. Mtaniiii. Mi Yanga damu kweli.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ NYUMA MWIKO HASWAAAA YAANI MBELE KWA MBELE.

Zawadi tuletee zaidi ya Makambo aje kutunyooshea watu Mtani. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Niliwahi kuandika humu hkn ligi nyepesi km VPL ,( mtazamo Wangu)

Mfano mdg angalia strikes wengi wakija bongo msimu wa kwanza lzm waongoze kwa ufungaji,na km ni mchezaji wa nafasi nyingine lzm atawika sana msimu wa mwanzo ,baada ya hapo doh majanga

Ni aibu Yanga wakiwa bingwa kwa timu hi ligi ya Tanzania ipo chini Sana daaaah
Yaani timi hi inacheza mechi 18 Bila kufungwa unbelievable

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…