DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,497
- 5,090
Imefanyaje mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imefanyaje mkuu?
Sasa unataka strong defence ya nini wakati una aina ya washambuliaji wanaosababisha washambuliaji wa timu pinzani waachane na jukumu lao kushambulia na kurudi nyuma kusaidia mabeki kuzuia!Kwa Sasa una furaha uwezi kunielewa
Yanga wako weak Sana defense timu nyingi zinashindwa kutumia nafasi kutokana na Aina ya wachezaji wa Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Namna hiyo...Weka rekodi timu yangu.
Mikia walirudi baada ya kufungashwa virago wakute viporo vimewachachia
Kama lile la kwa mashujaa ama? 😎
Aiseee we jamaa ni mbumbumbu pure kabisa, jitathmini kwa hiyo comment yakoNaombea mwaka huu Yanga ichukue ubingwa halafu kule Zambia Nkana naona wachukue halafu wake wakutane mwakani
Sent using Jamii Forums mobile app
ikawaje...si alimaliza dk 90.Nataka nimuone mhenga Boban Kama ataweza kasi ya walima mpunga wa kyela
Sent using Jamii Forums mobile app