Kutoka Uwanja wa Taifa Dar, Ligi Kuu Tanzania Bara: Yanga 0 - 0 Tanzania Prison

Kamanda ziro Kuna team moja umeisahau apo kweny matokeo mengine tunaomba uiweke et
 
Kutembea juu ya mpira leo hatujaona , ila kipaji kingine cha kupiga watu viwiko amefanikiwa kutuonyesha... aah ni fundi kweli..Red kadi tu ndo haikutolewa
TFF inabidi watoe adhabu kali ikibidi afungiwe hata mechi sita kwa kuwapiga wachezaji wawili wa prison tena kwa makusudi akifikiri haonekani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi yule chama cha Mapinduzi aliyepata ujiko kufunga goli la kubahatisha kwenye derby ya Kariakoo siku hizi haoni milingoti ya magoli?
 
Hii mechi ya Leo nadhani ndo mechi ngumu na bora kwa ligi hii ya msimu huu. Ilikuwa kama fainali
 
Kibongobongo hapa Morrison ni mchezaji mwenye uwezo wa juu sana asee na sioni anayefanana nae. Ila sijapenda kitendo cha kupiga kiwiko mwenzie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…