Hivi kipi kikubwa alichofanya huyo morrison ambacho hakijafanywa na niyonzima, dilunga, chama? Mnadanganyika na mbwembwe zisizo na maana.Kibongobongo hapa Morrison ni mchezaji mwenye uwezo wa juu sana asee na sioni anayefanana nae. Ila sijapenda kitendo cha kupiga kiwiko mwenzie.
Labda bongo ya NdotoniKibongobongo hapa Morrison ni mchezaji mwenye uwezo wa juu sana asee na sioni anayefanana nae. Ila sijapenda kitendo cha kupiga kiwiko mwenzie.
Mtani kwani hujui kama jana ni Weekend. Teh teh.
Hahahaaa. Lol.
Kukosa penalti si kitu cha ajabu lakini Mtani.
Ahsante. Tena bora Molinger kuliko huyo Yikpe kwani ni bure kabisa.Poleni sana,ile nye kwenye forward yenu Yikkpe na Molinga sio kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakijitahidi Sana wanaweza kuambulia point 1 kwa mziki wa Polisi na coastal union Yanga watasubiri Sana.Baada ya hapo wana Mechi na Polisi ugenini.
Alaf wanaenda Tanga kwa Coast Union ambaye leo kamchapa AZAM 2-0.
Huu 2020 ni mwaka wa furaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mji uko Baridiii.Wakijitahidi Sana wanaweza kuambulia point 1 kwa mziki wa Polisi na coastal union Yanga watasubiri Sana.
Tulia wewe.Zero IQ anajitahid sana kuiweka Yanga hewan hapa JF lkn akina Gide na Shadeeya hawatoi sapot kabisa duuuh.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Zero IQ yupo busy na kubana mbupu mpaka anashindwa ku update