Mr Never Mind
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 287
- 335
sorry mkuu makosa ya uandishiEPL![emoji134][emoji134][emoji134] sio TPL?
Ni kweli, refa anapaswa kuwalinda wachezaji nguli.Refa ajitahidi kulinda mastaa,Chama amefanyiwa faulo eneo la hatari
Kumbuka Hawa Ni wanajeshi wanacheza bundesliga kweli Bocco kashaumia Tayari katokaNi kweli, refa anapaswa kuwalinda wachezaji nguli.
Ushindi utapatikana kwa kufunga goliBila shaka ushindi utapatikana kwa penalty
ndiyo maana wamemtoa Book asije kupiga tens penati ya mwendokasi!Bila shaka ushindi utapatikana kwa penalty