chagga land
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 394
- 95
Leo ndio ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na wapenzi wa soka duniani kote kuja kushuhudia manguli wa soka duniani kutoka Tanzania wakiongozwa na kocha wa makocha Charles Boniface Mkwasa master wakichuana na kikosi cha Nigeria kikiongozwa na kocha aliyezoea kufungwa Sande Olise.
Mtanange huu utavurumishwa kutoka dimba la Taifa na huku mchezo ukitarajiwa kuanza majira ya saa kumi na nusu jioni kwa majira ya Afrika Mashariki. Kama kusipokuwa na figisufigisu mechi itarushwa na AZAM TV na mimi pamoja na timu yangu tutakuletea moja kwa moja kutoka taifa kupitia tovuti inayoongoza Afrika mashariki na kati kwa kuwa na followers wengi, JamiiForums.
Stay online
=======
Full Time
Tanzania 0 - Nigeria 0
Mtanange huu utavurumishwa kutoka dimba la Taifa na huku mchezo ukitarajiwa kuanza majira ya saa kumi na nusu jioni kwa majira ya Afrika Mashariki. Kama kusipokuwa na figisufigisu mechi itarushwa na AZAM TV na mimi pamoja na timu yangu tutakuletea moja kwa moja kutoka taifa kupitia tovuti inayoongoza Afrika mashariki na kati kwa kuwa na followers wengi, JamiiForums.
Stay online
=======
Full Time
Tanzania 0 - Nigeria 0
Last edited by a moderator: