cnjona
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 1,027
- 239
Atleast ingekuwa ni game ya kushinda sawa. Gemu lenyewe tushapoteza nje ya uwanja then viingilio wanaweka vikubwa. Hawajielewi hawa TifuTifu
kufungwa tufungwe,... hata pesa tukose?? ...ndo waliangalia hapo.