Kutoka Zanzibar: Singida Big Stars tumefanya mazungumzo na Avran Grant, Fadiga

Kutoka Zanzibar: Singida Big Stars tumefanya mazungumzo na Avran Grant, Fadiga

Hussein Massanza

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
1,016
Reaction score
2,195
Watu wa Soka,

Leo Singida Big Stars tumeshiriki kongamano la mpira wa miguu maarufu kwa jina la Tanzania Football Summit 2022 linaloendelea hapa visiwani Zanzibar.

Pamoja na mambo mengine muhimu, tumefanya mazungumzo na kocha mstaafu wa klabu ya Chelsea Avram Grant, mchezaji wa zamani wa Senegal Khalilou Fadiga na wadau wengine mashuhuri kutoka mataifa mbalimbali waliofika katika kongamano hilo litakalohitimishwa kesho Juni 26, 2022.

Mazungumzo yetu yalilenga kujenga na kuimarisha mahusiano pamoja na kubadilishana uzoefu wakati huu ambao tunaendelea na maandalizi ya Ligi Kuu ya NBC msimu ujao wa 2022/2023.


20220625_160541.jpg
20220625_160532.jpg
 
Watu wa Soka,

Leo Singida Big Stars tumeshiriki kongamano la mpira wa miguu maarufu kwa jina la Tanzania Football Summit 2022 linaloendelea hapa visiwani Zanzibar.

Pamoja na mambo mengine muhimu, tumefanya mazungumzo na kocha mstaafu wa klabu ya Chelsea Avram Grant, mchezaji wa zamani wa Senegal Khalilou Fadiga na wadau wengine mashuhuri kutoka mataifa mbalimbali waliofika katika kongamano hilo litakalohitimishwa kesho Juni 26, 2022.

Mazungumzo yetu yalilenga kujenga na kuimarisha mahusiano pamoja na kubadilishana uzoefu wakati huu ambao tunaendelea na maandalizi ya Ligi Kuu ya NBC msimu ujao wa 2022/2023.


View attachment 2271858View attachment 2271862
Dah!...nilidhani mazungumzo ya kumkabidhi mikoba ainoe timu msimu ujao.

Mpo vizuri sana....vipi usajili wenu mpaka Sasa?
Tate Mkuu Scars
 
Dah!...nilidhani mazungumzo ya kumkabidhi mikoba ainoe timu msimu ujao.

Mpo vizuri sana....vipi usajili wenu mpaka Sasa?
Tate Mkuu Scars

Hapana, lakini ulikuwa ni wasaa mzuri sana kuzungumza nae 😄

Usajili unaendelea vizuri. Maboresho kiasi yenye tija yanafanyika. Ngoja dirisha la usajili lifunguliwe Julai Mosi niwape mbivu na mbichi.
 
Singida mmemchukua yule kijana Habib kyombo anajuwa sana mpira japo ashawahi kuwa kijana wenu

Ni kweli HK ni mshambuliaji mzuri sana lakini hajawahi kuwa mchezaji wetu. Labda kama unamaanisha aliwahi kuwa mchezaji wa Singida United.
 
Back
Top Bottom