Mangole Valles Michael
JF-Expert Member
- May 30, 2021
- 338
- 683
Wakuu habarini za leo!?
Lengo kuu la Uzi huu ni kutaka mawazo mbadala ama ushauli kutoka kwenu. Mimi mkazi wa Geita mjini mwenye miaka 24, sjaoa na Wala Sina mtoto. Naweza kusema kwasasa mm ni mzawa wa geita mjini japo kua skuzaliwa hapa ila nimeishi tangu mwaka 2002 mpaka leo.
Mwaka 2018 mwezi wa 11 nilifungua biashara ya mpesa kwa mtaji wa laki 8 baada ya kua nimelipia kila kitu. Baadae nikaongeza huduma za mitandao yote mpaka Sasa.
Changamoto.
-Mwaka 2019 Mwezi wa 3 nilitapeliwa laki 3,
-mwaka 2020 mwaka haukua mzuri kwangu ki biashara.
Mwezi wa 4 mwizi alitoboa "singboard" kwakua flame yangu kwa nyuma ni guest aliingia kulala kama mteja akapanda juu ya uwaz ulio kua chooni na kukwea chuu ya dari la nyuma tukaibiwa flame zote.
Mimi niliibiwa hela cash 1.5 milion + sim viswaswadu nilivo kua naviuza 15 pic.
- Mwezi wa kumi niliamua kuboresha ofisi nikasuka grill kwa juu na nje, kuna siku alikuja mdogo wangu nikamuacha kama dk 20 akaja jamaa kununua sm kumbe alikua tapeli akapigwa sm kubwa infinix smart 5 kwa wakati huo nilipoteza 200k
- Baada ya wiki mbili mbele nikiwa nimefunga kikufuri changu nimeenda kununua vocha upande wa pili mida ya saa 10 jion akaja kibaka akiwa na master key, akafungua kakomeo na kupora simu kubwa smart phones 5 na cash laki 9 = 2.4 milion ya kilicho porwa, ila mungu mwema jirani yangu alimuona mwizi na kupambana nae, nilipo Rudi ofisini nikapigiwa sm mpaka mwizi alipo nikaokoa kila kitu kilicho kua kimeporwa.
- Baada ya wiki mbili nikatuma pesa ki makosa laki 6 na mteja alikua anadaiwa songesha 1000 ilipo katwa nikawa Sina uwezo wa kurejesha muhamala huo hata nilipo piga sm Vodacom sikusaidiwa kwaio nikawa nimepoteza laki 6.
- Biashara ya mazoea ya urafiki. Hii hitokana na baadhi ya marafiki wakikwama hunitimbia nilipo na kuja kunieleza shida zao nakosa namna naamua kuoa Kidogo nawapa.
-Zingine nakumbuka ni changamoto binafsi sio za ofisi, ni zile za matumizi muhimu.
Mafanikio:
Kwa mpesa zamani camisheni ilikua ina Soma 400k kwa voda
Tigo. 60k
Ila kwa Sasa biashara imekua ngumu Sana hivyo naishia kupata 300k
Nilibahatika kukuza mtaji mpaka milion 4.8 mpaka kufikia mwaka 2020 mwezi wa 9. Nikafanya maboresho ya ofisi Kidogo nikaanza kuuza sm kubwa ila kwa ma ingira niliyopo biashara haiwend kabisa. Sm ndogo nauza 1 pic au 2 pic kwa wiki nzima na faida yangu ni 3000 kwa kila pic ya sm. Kwaio nimesitisha biashara ya sm, nimebakiza mpesa.
Location ya biashara.
Nipo geita mjini mtaa wa shilabela. Huu mtaa kwa juu kama 1 km kuna poli lenye vichaka ambapo ni chimbo la wavuta bangi karibu wote wa hapa mtaani na mitaa jirani.
Baada ya kuvuta huja kujichanganya mtaani hivyo mtaa wangu una vibaka wengi sana.
Kwa kua Geita haija kaa ki biashara sion mtaa mwingine wa kwenda kufanya biashara, isipokua mtaa wa nyankumbu umechangamka lakin ni nyumbani kwa baba na mama hivyo sihitaji kufanyia huko biashara maana nilijaribu nikaferi.
Maoni yangu:
Ninawaza kuhama mkoa niingie kwenye mikoa ya kibiashara.
Haya mdau nambie ungekua ni wewe ungefanyaje ?
Lengo kuu la Uzi huu ni kutaka mawazo mbadala ama ushauli kutoka kwenu. Mimi mkazi wa Geita mjini mwenye miaka 24, sjaoa na Wala Sina mtoto. Naweza kusema kwasasa mm ni mzawa wa geita mjini japo kua skuzaliwa hapa ila nimeishi tangu mwaka 2002 mpaka leo.
Mwaka 2018 mwezi wa 11 nilifungua biashara ya mpesa kwa mtaji wa laki 8 baada ya kua nimelipia kila kitu. Baadae nikaongeza huduma za mitandao yote mpaka Sasa.
Changamoto.
-Mwaka 2019 Mwezi wa 3 nilitapeliwa laki 3,
-mwaka 2020 mwaka haukua mzuri kwangu ki biashara.
Mwezi wa 4 mwizi alitoboa "singboard" kwakua flame yangu kwa nyuma ni guest aliingia kulala kama mteja akapanda juu ya uwaz ulio kua chooni na kukwea chuu ya dari la nyuma tukaibiwa flame zote.
Mimi niliibiwa hela cash 1.5 milion + sim viswaswadu nilivo kua naviuza 15 pic.
- Mwezi wa kumi niliamua kuboresha ofisi nikasuka grill kwa juu na nje, kuna siku alikuja mdogo wangu nikamuacha kama dk 20 akaja jamaa kununua sm kumbe alikua tapeli akapigwa sm kubwa infinix smart 5 kwa wakati huo nilipoteza 200k
- Baada ya wiki mbili mbele nikiwa nimefunga kikufuri changu nimeenda kununua vocha upande wa pili mida ya saa 10 jion akaja kibaka akiwa na master key, akafungua kakomeo na kupora simu kubwa smart phones 5 na cash laki 9 = 2.4 milion ya kilicho porwa, ila mungu mwema jirani yangu alimuona mwizi na kupambana nae, nilipo Rudi ofisini nikapigiwa sm mpaka mwizi alipo nikaokoa kila kitu kilicho kua kimeporwa.
- Baada ya wiki mbili nikatuma pesa ki makosa laki 6 na mteja alikua anadaiwa songesha 1000 ilipo katwa nikawa Sina uwezo wa kurejesha muhamala huo hata nilipo piga sm Vodacom sikusaidiwa kwaio nikawa nimepoteza laki 6.
- Biashara ya mazoea ya urafiki. Hii hitokana na baadhi ya marafiki wakikwama hunitimbia nilipo na kuja kunieleza shida zao nakosa namna naamua kuoa Kidogo nawapa.
-Zingine nakumbuka ni changamoto binafsi sio za ofisi, ni zile za matumizi muhimu.
Mafanikio:
Kwa mpesa zamani camisheni ilikua ina Soma 400k kwa voda
Tigo. 60k
Ila kwa Sasa biashara imekua ngumu Sana hivyo naishia kupata 300k
Nilibahatika kukuza mtaji mpaka milion 4.8 mpaka kufikia mwaka 2020 mwezi wa 9. Nikafanya maboresho ya ofisi Kidogo nikaanza kuuza sm kubwa ila kwa ma ingira niliyopo biashara haiwend kabisa. Sm ndogo nauza 1 pic au 2 pic kwa wiki nzima na faida yangu ni 3000 kwa kila pic ya sm. Kwaio nimesitisha biashara ya sm, nimebakiza mpesa.
Location ya biashara.
Nipo geita mjini mtaa wa shilabela. Huu mtaa kwa juu kama 1 km kuna poli lenye vichaka ambapo ni chimbo la wavuta bangi karibu wote wa hapa mtaani na mitaa jirani.
Baada ya kuvuta huja kujichanganya mtaani hivyo mtaa wangu una vibaka wengi sana.
Kwa kua Geita haija kaa ki biashara sion mtaa mwingine wa kwenda kufanya biashara, isipokua mtaa wa nyankumbu umechangamka lakin ni nyumbani kwa baba na mama hivyo sihitaji kufanyia huko biashara maana nilijaribu nikaferi.
Maoni yangu:
Ninawaza kuhama mkoa niingie kwenye mikoa ya kibiashara.
Haya mdau nambie ungekua ni wewe ungefanyaje ?