Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mbona 20000 ni nyingi kuna vijiji kuchangia 500 kwa mwezi kwa ajili ya kusafisha kisima cha maji mpaka baba wazima wanajificha porini kwa siku kadhaa kwasababu ya kukisa sh 500 ya mwezi, watu ni masikini kweli kweli sio masiharaHayo si Maneno yangu, bali ni Maneno ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche alipokuwa anawahutubia mamia ya Wananchi, akigusia hali ya Uchumi ilipofikishwa na serikali ya ccm
View attachment 3234563
Naunga mkono kauli hasa nikiangalia Maisha halisi ya Wananchi wa Tanzania, Wakiwemo Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ambao hawakuwahi kuongezwa Mshahara kwa miaka 8 sasa.
Maneno hayo yalisemwa na tambwe hizza miaka 30 iliyopita hakuna jipya wananchi wameendelea kuiamini CCM na kutafuta dona la wana kwa amani!Hayo si Maneno yangu, bali ni Maneno ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche alipokuwa anawahutubia mamia ya Wananchi, akigusia hali ya Uchumi ilipofikishwa na serikali ya ccm
View attachment 3234563
Naunga mkono kauli hasa nikiangalia Maisha halisi ya Wananchi wa Tanzania, Wakiwemo Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ambao hawakuwahi kuongezwa Mshahara kwa miaka 8 sasa.
Kila siku siyo JumapiliManeno hayo yalisemwa na tambwe hizza miaka 30 iliyopita hakuna jipya wananchi wameendelea kuiamini CCM na kutafuta dona la wana kwa amani!
Subiri!Kila siku siyo Jumapili
Kweli kabisaHayo si Maneno yangu, bali ni Maneno ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche alipokuwa anawahutubia mamia ya Wananchi, akigusia hali ya Uchumi ilipofikishwa na serikali ya ccm
View attachment 3234563
Naunga mkono kauli hii hasa nikiangalia Maisha halisi ya Wananchi wa Tanzania, Wakiwemo Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ambao hawakuwahi kuongezwa Mshahara kwa miaka 8 sasa.
Subiri!
Unaonyesha wafuasi wa chadema na sare zao hapo onyesha wananchi wasio na sare hao ndio wapiga kura!
HayaUnaonyesha wafuasi wa chadema na sare zao hapo onyesha wananchi wasio na sare hao ndio wapiga kura!
Huku wabunge wanajilipa laki 6 kwa siku kama posho + mil 20 kWa mweziMbona 20000 ni nyingi kuna vijiji kuchangia 500 kwa mwezi kwa ajili ya kusafisha kisima cha maji mpaka baba wazima wanajificha porini kwa siku kadhaa kwasababu ya kukisa sh 500 ya mwezi, watu ni masikini kweli kweli sio masihara
KivipHata Lucas Mwashambwa angebaki.
Kabisa joblessNaweza mkubalia kwa upande fulani, nili enda tanga handeni Kuna kijiji maji ni mekundu kudadadeki.
mtoto hajui yebo ni nini, Kuna mpaka zile biscuit za zamani za vinailoni.
I swear uki zaliwa na una uhakika wa milo 3 hiyo ni zaidi ya blessing.
naam, ndio maana mi niki ona mtu ana furahia nyumba Kama his or biggest achievement .Kabisa jobless
Nyie si mnazaliwa na mitaji kabisaKweli kabis
Tusajili majobless mwaka huu nita msadia jobless mwenzangu ngoja nikazenaam, ndio maana mi niki ona mtu ana furahia nyumba Kama his or biggest achievement .
basi huwa namuelewa Sana, watu wame suffer na kupigika yaani akiwa na nyumba anaona hii miujiza.
Ccm ni laana kwa nchi hii!Mbona 20000 ni nyingi kuna vijiji kuchangia 500 kwa mwezi kwa ajili ya kusafisha kisima cha maji mpaka baba wazima wanajificha porini kwa siku kadhaa kwasababu ya kukisa sh 500 ya mwezi, watu ni masikini kweli kweli sio masihara
Kuanzisha jobless ili kuwa Kama utani, but something clicked in my head kuwa Ina weza komboa na kuunganisha watu.Tusajili majobless mwaka huu nita msadia jobless mwenzangu ngoja nikaze