Kutokana na dhiki inayowakabili watanzania hata wakiambiwa kuingia Mbinguni ni elfu 20 Watashindwa

Kutokana na dhiki inayowakabili watanzania hata wakiambiwa kuingia Mbinguni ni elfu 20 Watashindwa

Naweza mkubalia kwa upande fulani, nili enda tanga handeni Kuna kijiji maji ni mekundu kudadadeki.

mtoto hajui yebo ni nini, Kuna mpaka zile biscuit za zamani za vinailoni.

I swear uki zaliwa na una uhakika wa milo 3 hiyo ni zaidi ya blessing.
Umesema kweli sana! Nilienda mkuranga huko pwani Kila mtu anapekua, hela ya malapa Hana! Ccm hoyee! Daa deki!
 
Ndio maisha ya watanzania wengi akipata mlo mmoja kwa siku kwake ni bahati kweli kweli.
 
Hayo si Maneno yangu, bali ni Maneno ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche alipokuwa anawahutubia mamia ya Wananchi, akigusia hali ya Uchumi ilipofikishwa na serikali ya ccm

View attachment 3234563

Naunga mkono kauli hii hasa nikiangalia Maisha halisi ya Wananchi wa Tanzania, Wakiwemo Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ambao hawakuwahi kuongezwa Mshahara kwa miaka 8 sasa.
Hahahaha
 
Hayo si Maneno yangu, bali ni Maneno ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche alipokuwa anawahutubia mamia ya Wananchi, akigusia hali ya Uchumi ilipofikishwa na serikali ya ccm

View attachment 3234563

Naunga mkono kauli hii hasa nikiangalia Maisha halisi ya Wananchi wa Tanzania, Wakiwemo Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ambao hawakuwahi kuongezwa Mshahara kwa miaka 8 sasa.
Umaskini wa wananchi ndio furaha ya ccm.
 
Huenda nikweli.

Wakati nasoma sekondari 2011 - 2014, Shule ya kata, Tulikua tunafukuzwa Kisa hatujalipa Ada.

Na wakati ule Ada ilikua 20k.

Sasa fikiria kama mzazi walimu wanalazimika kumfukuza mwanao shule ili aje afuate ada 20k? Huu ni umasikini wa aina gani?
Daaaah
 
Umaskini wa wananchi ndio furaha ya ccm.
Screenshot_2024-09-12-15-13-25-78-1.png
 
Elfu Ishirini ni nini ? Hio mentality kuanzia mwanzo ipo kwenye premise potofu...

Cha maana watu wapate Chakula, Malazi na Mavazi as well as peace of mind (Vitu ambavyo hawapati) tukianza ku equate vitu na monetary value naweza kukwambia hio Elfu Ishirini kuonekana ndogo pia ni kwamba uchumi / value for money haipo na kwa mwendo huu huenda akitoa hotuba kama hii ten years from now kwenye elfu kumi atasema laki moja... You need a Vantage point to come with optimal solutions.
 
Hayo si Maneno yangu, bali ni Maneno ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche alipokuwa anawahutubia mamia ya Wananchi, akigusia hali ya Uchumi ilipofikishwa na serikali ya ccm

View attachment 3234563

Naunga mkono kauli hii hasa nikiangalia Maisha halisi ya Wananchi wa Tanzania, Wakiwemo Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ambao hawakuwahi kuongezwa Mshahara kwa miaka 8 sasa.
Hii ni kweli kabisa. Hata Mwenyekiti wa Chadema Taifa Tundu Antipass Lissu hana gari la kutembelea kutokana na dhiki aliyonayo hadi akaomba achangiwe kununua gari. CCM tulimchangia shilingi milioni tano.
Na inawezekana ndio maana mwaka 2017 alishindwa kwenda "kwa Baba" kwasababu hata hiyo 20,000/= hakuwa nayo kipindi hicho. SO SAD!!!
 
Back
Top Bottom