Animal Farm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 234
- 281
Umesema kweli sana! Nilienda mkuranga huko pwani Kila mtu anapekua, hela ya malapa Hana! Ccm hoyee! Daa deki!Naweza mkubalia kwa upande fulani, nili enda tanga handeni Kuna kijiji maji ni mekundu kudadadeki.
mtoto hajui yebo ni nini, Kuna mpaka zile biscuit za zamani za vinailoni.
I swear uki zaliwa na una uhakika wa milo 3 hiyo ni zaidi ya blessing.
Dona wale wao kina Mwigulu wanakula kuku😀😃😆Maneno hayo yalisemwa na tambwe hizza miaka 30 iliyopita hakuna jipya wananchi wameendelea kuiamini CCM na kutafuta dona la wana kwa amani!
Hata kwa Mungu kuna daraja sio wote watao ingia peponi hivyo wacha wale kuku wengine wale dona!Dona wale wao kina Mwigulu wanakula kuku😀😃😆
HahahahaHayo si Maneno yangu, bali ni Maneno ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche alipokuwa anawahutubia mamia ya Wananchi, akigusia hali ya Uchumi ilipofikishwa na serikali ya ccm
View attachment 3234563
Naunga mkono kauli hii hasa nikiangalia Maisha halisi ya Wananchi wa Tanzania, Wakiwemo Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ambao hawakuwahi kuongezwa Mshahara kwa miaka 8 sasa.
Hahahah chama kinaitwajeTusajili majobless mwaka huu nita msadia jobless mwenzangu ngoja nikaze
Umaskini wa wananchi ndio furaha ya ccm.Hayo si Maneno yangu, bali ni Maneno ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche alipokuwa anawahutubia mamia ya Wananchi, akigusia hali ya Uchumi ilipofikishwa na serikali ya ccm
View attachment 3234563
Naunga mkono kauli hii hasa nikiangalia Maisha halisi ya Wananchi wa Tanzania, Wakiwemo Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ambao hawakuwahi kuongezwa Mshahara kwa miaka 8 sasa.
HeheheKweli kabisa. CCM ni kirusi
DaaaahHuenda nikweli.
Wakati nasoma sekondari 2011 - 2014, Shule ya kata, Tulikua tunafukuzwa Kisa hatujalipa Ada.
Na wakati ule Ada ilikua 20k.
Sasa fikiria kama mzazi walimu wanalazimika kumfukuza mwanao shule ili aje afuate ada 20k? Huu ni umasikini wa aina gani?
Umaskini wa wananchi ndio furaha ya ccm.
Ni kweli kabisa
Hii ni kweli kabisa. Hata Mwenyekiti wa Chadema Taifa Tundu Antipass Lissu hana gari la kutembelea kutokana na dhiki aliyonayo hadi akaomba achangiwe kununua gari. CCM tulimchangia shilingi milioni tano.Hayo si Maneno yangu, bali ni Maneno ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche alipokuwa anawahutubia mamia ya Wananchi, akigusia hali ya Uchumi ilipofikishwa na serikali ya ccm
View attachment 3234563
Naunga mkono kauli hii hasa nikiangalia Maisha halisi ya Wananchi wa Tanzania, Wakiwemo Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ambao hawakuwahi kuongezwa Mshahara kwa miaka 8 sasa.