Kutokana na kauli ya Waziri Nape kwenye matumizi ya bando; Wataalam na watumiaji majibu yenu Muhimu

Kutokana na kauli ya Waziri Nape kwenye matumizi ya bando; Wataalam na watumiaji majibu yenu Muhimu

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Tunaambiwa weka 500 yako alafu washa intaneti kisha endelea kuperuzi.

Hiyo ndiyo kauli unayoweza kuitumia kutokana na wananchi wanaogoma kuhamia Burundi wakidai matumizi ya vifurushi wanavyonunua kwenye bando kutumika na kuisha hata kabla ya mtumiaji kumaliza ndani ya muda.

SWALI: Wale mnaotumia bando pasipo kuunganisha kifurushi (salio la kawaida) Je, kwa shs 5000 naweza kuingia mtandani na kuitumia kwa muda gani tofauti na kujiunga kwenye kifurushi?
 
Nape yupo sahihi.

Vifurushi ni Sales tactics.
Itumike lugha yoyote tu ILA kwanini wasichaji internet kwa gharama ile ile inayotumika kuchaji kwa bando?

Watoe bando, waendelee kuniuzia GB 1 kwa pesa ile ile ya bando, hasara hawapati.

TBL ndo inaongoza kwa kulipa kodi, Mitandao ya simu kwa ujumla wao ndio wanaongoza kwa kupata mapato makubwa kwakuwa watumiaji ni wengi

Nini inatokea mpaka hawaongozi kwenye kulipa kodi?
 
Vifurushi ni Sales tactics.
Sales tactics mmmh!

Napewa bure au nalipia na kama nalipia kwa nini nalipia 500mb kwa 1000shs alafu unaondoa kabla sijamaliza kutumia?.
 
Tunaambiwa weka 500 yako alafu washa intaneti kisha endelea kuperuzi.

Hiyo ndiyo kauli unayoweza kuitumia kutokana na wananchi wanaogoma kuhamia Burundi wakidai matumizi ya vifurushi wanavyonunua kwenye bando kutumika na kuisha hata kabla ya mtumiaji kumaliza ndani ya muda.

SWALI: Wale mnaotumia bando pasipo kuunganisha kifurushi (salio la kawaida) Je, kwa shs 5000 naweza kuingia mtandani na kuitumia kwa muda gani tofauti na kujiunga kwenye kifurushi?
Nape Nnauye ni mtetezi wa wanyonyaji wanao nyonya nguvu kazi za wazawa
 
Back
Top Bottom