SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Nakumbuka kuangalia clip moja ya Mwalimu Nyerere akisema "kama ilivyo kwa UKRISTO, dunia haijawahi kuufuata UJAMAA kwa asilimia 100" kwa maana hiyo ni ngumu au siyo sahihi kuhukumu kama mitazamo na mifumo hiyo ni sahihi au siyo wakati haijawahi kufuatwa kikamilifu.
Simba ya kipindi cha Juma Mgunda ilikuwa inacheza mpira wa back passes nyingi, alipokuja tu Robertinho na falsafa zake za direct football alishtua wengi maana back passes zilikoma ghafla ndiyo kelele zikaanza kuwa Simba inacheza mpira wa butua butua. Kutokana na shinikizo, ikabidi aruhusu sehemu ya mpira ambao watu walikuwa wanalilia lakini hapo unadili na mifumo miwili inayokinzana. Ukweli ni kuwa falsafa ya Robertinho haijawahi kuwa practiced pale Simba ukiacha gemu 2 au 3 za mwanzo toka alipokuja.
Leo hii mnapolialia kuwa Simba haina kasi, eti wachezaji wanacheza taratibu mno, mkumbuke huo ni ugonjwa ambao Robertinho alijaribu kuutibu lakini mkamkemea. Hili suala nimeliongelea sana siku za nyuma, pitia nyuzi hizi:
Post # 564 - FT: Simba 0-3 Raja Casablanca | CAF Champions League
Post # 9 - Ukweli kuhusu Simba Sports Club
Post # 364 - FT|| Horoya AC 1-0 Simba SC | CAF Champions League | Stade General Lansana Conte | 11.02.2023
Post # 21 - Jicho la tatu: Mgunda ndiyo mtu wa kwanza anayefaa kulaumiwa kwa matokeo mabovu Simba
Simba ya kipindi cha Juma Mgunda ilikuwa inacheza mpira wa back passes nyingi, alipokuja tu Robertinho na falsafa zake za direct football alishtua wengi maana back passes zilikoma ghafla ndiyo kelele zikaanza kuwa Simba inacheza mpira wa butua butua. Kutokana na shinikizo, ikabidi aruhusu sehemu ya mpira ambao watu walikuwa wanalilia lakini hapo unadili na mifumo miwili inayokinzana. Ukweli ni kuwa falsafa ya Robertinho haijawahi kuwa practiced pale Simba ukiacha gemu 2 au 3 za mwanzo toka alipokuja.
Leo hii mnapolialia kuwa Simba haina kasi, eti wachezaji wanacheza taratibu mno, mkumbuke huo ni ugonjwa ambao Robertinho alijaribu kuutibu lakini mkamkemea. Hili suala nimeliongelea sana siku za nyuma, pitia nyuzi hizi:
Post # 564 - FT: Simba 0-3 Raja Casablanca | CAF Champions League
Post # 9 - Ukweli kuhusu Simba Sports Club
Post # 364 - FT|| Horoya AC 1-0 Simba SC | CAF Champions League | Stade General Lansana Conte | 11.02.2023
Post # 21 - Jicho la tatu: Mgunda ndiyo mtu wa kwanza anayefaa kulaumiwa kwa matokeo mabovu Simba