Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hakuna katazo la muislam kuhudhuria mazishi ya mkristoNa vipi ni kosa kuhudhuria kwenye mazishi ya mkristo?
Tunahudhuria sana kwani sisi ni binadamu na tunaishi pamoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna katazo la muislam kuhudhuria mazishi ya mkristoNa vipi ni kosa kuhudhuria kwenye mazishi ya mkristo?
Allahumma Aamiin. Na kwako pia ndugu yanguAisee, Allah akuzidishie elimu na maarifa na akulipe kheri.
Allahumma Aamiin. Na kwako pia, Allah akulipe kheri ndugu yangu.Ndugu yetu Allaah akulipe kheri kwa darasa zuri ulilotoa.
Kwa mtu mwenye nia ya kuelewa ameelewa ama yule anayeendekeza ubishi hawezi kuelewa hata kidogo kama alivyosema sheikh Muhammad Naswirul diyn Albany Allaah amrehemu kwamba :
"طالب الحق يكفيه دليل، و صاحب الهوى لا يكفيه ألف
دليل. الجاهل يعلم وصاحب الهوى ليس لنا عليه سبيل"
( Mwenye kuitafuta haki dalili moja inamtosha ( kumuelewesha) na mtu wa matamanio dalili elfu moja hazimtoshi (hata umsomee Quran nzima ataendelea kubishana tu )
Mjinga ( anayejijua kuwa hajui) anaelimishwa , na mtu wamatamanio hatu njia kwa ajili yake ( hatuna uwezo wa kumuelimisha mtu anayetaka haki ifuate matamanio yake )).
Aaamyn.Allahumma Aamiin. Na kwako pia ndugu yangu