Kutokana na maendeleo ya kiteknolojia, waislamu bado wanazo sababu za kuzuia wanawake kwenda kuzika?

Kutokana na maendeleo ya kiteknolojia, waislamu bado wanazo sababu za kuzuia wanawake kwenda kuzika?

Ndugu yetu Allaah akulipe kheri kwa darasa zuri ulilotoa.
Kwa mtu mwenye nia ya kuelewa ameelewa ama yule anayeendekeza ubishi hawezi kuelewa hata kidogo kama alivyosema sheikh Muhammad Naswirul diyn Albany Allaah amrehemu kwamba :
"طالب الحق يكفيه دليل، و صاحب الهوى لا يكفيه ألف
دليل. الجاهل يعلم وصاحب الهوى ليس لنا عليه سبيل"
( Mwenye kuitafuta haki dalili moja inamtosha ( kumuelewesha) na mtu wa matamanio dalili elfu moja hazimtoshi (hata umsomee Quran nzima ataendelea kubishana tu )
Mjinga ( anayejijua kuwa hajui) anaelimishwa , na mtu wamatamanio hatu njia kwa ajili yake ( hatuna uwezo wa kumuelimisha mtu anayetaka haki ifuate matamanio yake )).
Allahumma Aamiin. Na kwako pia, Allah akulipe kheri ndugu yangu.
 
Back
Top Bottom