Chuo kikuu unapata,hiyo three yako ya kwanza baada ya two. Japo unaonekana ulikuwa mzembe sana darasani kwenu. Mtu akifel sana HKL huwa anapata division two. Au ulichukulia hivi "Hakuna Kusoma Lala (HKL). Au ulikuwa Kiranja wa Msosi, kila mda unawaza kwenda kupima mchele,Unga na maharage.