Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Hilo ni dhahiri kabisaYaani kwa kitendo hiki cha Spika Ndugai ni dhahiri ameamua kuisigina Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977
Kilichotakiwa ni huyo Spika kuburuzwa mahakamani kwenda kujibu mashitaka yake.......
Hata hivyo ninachohofu ingawa hilo ni kosa straight forward, lakini kwa kadri nchi hii inavoendeshwa hivi sasa, usije shangaa mhimili huo wa mahakama ukaamua "kujivua" wajibu wake kwa kisingizio kuwa wanaogopa kuingilia utendaji wa mhimili huo wa Bunge!
Jiwe analiendesha atakavyo jinga sn lile gogoWakuu naomba kukiri kwamba mimi si mtaalam wa sheria za Tanzania , hivyo uzi wangu waweza kuwa na mapungufu kadhaa , lakini ni dhahiri kwamba kwenye nchi hii sheria za uchaguzi zinawataka wagombea kudhaminiwa na chama cha siasa , kwa maana kwamba ili uweze kukubaliwa na Tume ya uchaguzi kuwa mgombea wa ubunge , udiwani ama Urais unapaswa kuwa mwanachama wa chama cha siasa kilichosajiliwa na Msajili wa vyama vya siasa .
Na kwamba ikiwa utavuliwa uanachama na chama hicho ama wewe binafsi kujivua uanachama basi bila shaka utakuwa umepoteza Ubunge wako na kutotambuliwa kama mbunge .
Cecil Mwambe tunataarifiwa kwamba amerejea bungeni ambako yeye mwenyewe aliondoka baada ya kujivua uanachama wa chama kilichomdhamini baada ya kumuokota barabarani 2015 na kumpa nafasi ya kugombea ubunge wa Ndada baada ya kutupwa na ccm , na amerejea kwa hisani ya Spika wa bunge hilo Mtukufu Ndugai , kwa kadri ya ufahamu wangu huku ni sawa na kudharau na kusigina kabisa katiba ya nchi , yawezekana mimi labda sielewi , naomba wanasheria mnisaidie , na ikiwa kama spika wa bunge anaamua kunyea katiba ya nchi mnadhani kuna haja ya raia wa kawaida kuiheshimu ?
Nakala : Tundu Lissu
Aibu kubwa sana !Bado kuna watu mnajiuliza kuhusu "bunge la ndugai"?Ninachojua mimi tangu 2016 ni kuwa hatuna Bunge...Chombo cha kuisimamia serikali kama ndicho kinaitwa Bunge,basi chombo hicho hakipo nchini tangu Rais aliyepita aondoke madarakani..
Kuna chombo kingine kipya,ambacho hakijatajwa hata kwenye Katiba, ambacho kinabariki kila kitu cha serikali na kupewa maelekezo na serikali..ndo mnakiita Bunge?Kama maana ya Bunge bado haijabadilika basi tuelewe tu kuwa hakuna Bunge hapa nchini...Kuna kitu kipya kinaitwa "bunge la ndugai"...Kinafanyia shughuli zake za kubariki na kuelekezwa na serikali pale mahali ambapo Bunge lilikuwepo kabla halijafa..Nadhani labda ni sababu inayowachanganya watu kudhania ndiyo Bunge lenyewe!!
Hajaalikwa tu bali karudishiwa ubunge alioukataa mwenyewe tena aliukataa baada ya kununuliwa , ushahidi huu hapa
Mara sio malaHahaha...kwa mala ya kwanza katika historia ya nchi yetu wapinzani wanatamani Rais afute uchaguzi ili waendelee kuwa wabunge.
Mkuu leo buku saba amelipa nani?Hakuna kufuta Uchaguzi, hawa walizoea siasa za kudekezwa, this time ni kazi tu, hatuwezi kukubali Tanzania iharibike kisa kikundi cha watu 50 waliopo Ufipa NEVER
Nakulilia Tanzania .Rais wa Kwanza na baba wataifa la kenya mzee Jomo Kenyatta aliwai kusema kua Nyerere anatawala maiti
Naona Hiyo ni kweli kabisa
Kwasababu Zifuatazo .......
1. Katiba inavunjwa na rais wao kazi yao ni kusema hapa kazi
2. Spika wa bunge anavunja katiba na Sheria za nchi watu bado wanasema muache awanyooshe
3. Wakuu wa mikoa wanavunja katiba na Sheria za nchi wao bado kazi yao ni kusifia
4. Wakuu wa wilaya wanavunja katiba na Sheria za nchi wao kazi yao ni kusifia tu
5. Police wanavunja katiba na Sheria za nchi wao kazi yao ni kusifia
Hapo tutakosa kweli kuwa maiti maana tukisifia Sana mwisho wake huzaa utumwa wa fikra na unakuwa tegemezi wa ujinga kwa kila kitu