Kutokana na ruzuku kupungua CHADEMA kupunguza wafanyakazi. Wafanyakazi waja juu walia upendeleo

Kutokana na ruzuku kupungua CHADEMA kupunguza wafanyakazi. Wafanyakazi waja juu walia upendeleo

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Kuna taarifa kuwa kutokana na ruzuku kupungua wafanyakazi wengi wa CHADEMA watapunguzwa kazi moja wapo watakapopunguzwa ni wanaoitwa non core staff yaani wafanyakazi wa ofisi ambao sio wanasiasa kama wahasibu,Madereva,maafisa mbalimbali nk waglfanyakazi hawapingi kupunguzwa ila tatizo malalamiko yameanza tayari kuwa zoezi linaonekana kuwa na sura ya kikabila na kikanda kwenye kupunguzana

Pili kuna malamiko ya mafao Watakayolipwa na pia baadhi yao baada ya kwenda kuangalia statement zao NSSF wengi wamekuta mwajiri CHADEMA alikuwa hapeleki michango
 
Kuna taarifa kuwa kutokana na ruzuku kupungua wafanyakazi wengi wa Chadema watapunguzwa kazi mojawapo watakapopunguzwa ni wanaoitwa non core staff yaani wafanyakazi wa ofisi ambao sio wanasiasa kama wahasibu,Madereva,maafisa mbalimbali nk waglfanyakazi hawapingi kupunguzwa ila tatizo malalamiko yameanza tayari kuwa zoezi linaonekana kuwa na sura ya kikabila na kikanda kwenye kupunguzana

Pili kuna malamiko ya mafao Watakacholipwa na pia baadhi yao baada ya kwenda kuangalia statement zao NSSF wengi wamekuta mwajiri Chadema alikuwa hapeleki michango
Hakuna kipindi CHADEMA ililaumiwa kama 2005-10 kwamba makao makuu ilipendelewa sana hadi mikoani kukasahaulika.

Mbowe alichofanya ni kukipeleka chama kwenye level ya kanda na hata bajeti imeongezwa huko so makao makuu kukitokea retrenchment haina madhara sababu nguvu yote ilipelekwa ngazi ya kanda ndio maana unaona hta kanda zina uwezo wa kujenga ofisi zao na kuendesha harakati bila kusubiri ufipa.

Then CHADEMA haitegemei ruzuku tu kujiendesha otherwise isingekua na uwezo wa kufanya operesheni za kichama karibu kila wiki miaka ya 2007 ambapo Ruzuku ilikua chini ya 60 Million kwa Mwezi!!!
 
Issue sio ya Makeneni statement za NSSF wengine michango haionekani kupelekwa. Makene sio NSSF wangepeleka ingeonekana kule

Sasa kama michango haionekani NSSF una uhakika kwamba NSSF washaupload kwenye database yao? Kama Chadema wangekuwa hawapeleki NSSF kwa ukaguzi anofanya CAG wangekuwa washapigwa hati chafu pia mgazeti ya kina tetere mchange na mwenzake ngumbaru musiba wangekuwa washapublish tu zamani.
 
Nawaona tu MATAGA mlivyo na furaha tele msikiapo taarifa ya kipuuzi kama hiyo.
 
Issue sio ya Makene ni statement za NSSF wengine michango haionekani kupelekwa. Makene sio NSSF wangepeleka ingeonekana kule
CAG hakukagua compliance ya chama ? Vp TAKUKURU waliofanya forensic Auditing kuanzia usajili wa chama mpaka minutes za vikao na rekodi zote za malipo!! Hawakuliona hili

Basi Mbowe ana akili kuliko majasusi waliojazana TAKUKURU???
 
Chama kibuni miradi yake kijitegemee...kutegemea ruzuku ya serikali ya CCM kuna madhar makubwa sana.
 
Back
Top Bottom