😂😂😂😂😂😂Maskini saccos inakufa mmawia na bujibuji walipanda mbegu zao!
Huyo hajielewi maana kuchwani ni mweupeAcha umbea mpigia simu Makene upate ufafanuzi...Kwa visasi vya sasa CHADEMA wangekuwa hawapeleki NSSF si wangepata hati chafu?
Sijasema kuna shida wala wafanyakazi hawajasema hawataki walacholalamika ni zoezi kuendeshwa kiupendeleo wa kikabila na kikanda na suala la watakacholipwa kama mafao na swala la michango yao kupelekwa NSSFEveryone sing the same song.... even the world, sasa sijui shida yako ni nini?
Zakwenu hapo mtaa wa kijani zipo salama sio,basi hongera.Namuona Mmawia na Mrangi wakipoteza ajira hapo Ufipa!
Ili ya mtaa wa kijani ndio kwanza inachanua.SACCOSS imefikia mwisho
Issue sio ya Makene ni statement za NSSF wengine michango haionekani kupelekwa. Makene sio NSSF wangepeleka ingeonekana kuleAcha umbea mpigia simu Makene upate ufafanuzi...Kwa visasi vya sasa CHADEMA wangekuwa hawapeleki NSSF si wangepata hati chafu?
Hakuna kipindi CHADEMA ililaumiwa kama 2005-10 kwamba makao makuu ilipendelewa sana hadi mikoani kukasahaulika.Kuna taarifa kuwa kutokana na ruzuku kupungua wafanyakazi wengi wa Chadema watapunguzwa kazi mojawapo watakapopunguzwa ni wanaoitwa non core staff yaani wafanyakazi wa ofisi ambao sio wanasiasa kama wahasibu,Madereva,maafisa mbalimbali nk waglfanyakazi hawapingi kupunguzwa ila tatizo malalamiko yameanza tayari kuwa zoezi linaonekana kuwa na sura ya kikabila na kikanda kwenye kupunguzana
Pili kuna malamiko ya mafao Watakacholipwa na pia baadhi yao baada ya kwenda kuangalia statement zao NSSF wengi wamekuta mwajiri Chadema alikuwa hapeleki michango
Issue sio ya Makeneni statement za NSSF wengine michango haionekani kupelekwa. Makene sio NSSF wangepeleka ingeonekana kule
CAG hakukagua compliance ya chama ? Vp TAKUKURU waliofanya forensic Auditing kuanzia usajili wa chama mpaka minutes za vikao na rekodi zote za malipo!! Hawakuliona hiliIssue sio ya Makene ni statement za NSSF wengine michango haionekani kupelekwa. Makene sio NSSF wangepeleka ingeonekana kule