Kutokana na support anayoipata, Andrew Chenge anaweza kuwa ni Spika ajae na hii itathibitisha CHADEMA walikuwa sahihi kumteua Lowassa kuwa mgombea wao


Caucus ya ccm itakuja na jina moja mjengoni kupigiwa kura baada ya kukanyagana kwenye vikao vya chama.Mtego uko hapo.
 
Tuonyesha ushahidi wa ufisadi ulipo wa wawili hawa
 
Akipita, itadhihirisha pasina shaka kuwa watanzania tuna matatizo makubwa Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…